Poa mama! Mzima wewe? Hapo kwenye red hakyanani nimesisimka! Halafu nikakuzawadia hiki hapa
The Following User Says Thank You to Mom For This Useful Post:
Chrispin (Today)
Back to the topic: Hakyanani hebu tema mate chini:
1.Aliyempa mimba kama atakuwa mjingamjinga (konda, dereva, muuza genge nk): Yeye ataenda mochware, mimi ntakuwa nasubiria signecha ya prezidenti, binti atalelewa na mama yake.
2.Kama atakuwa mwanafunzi mwenzie: Ntavuta pumzi na kutafakari kwa kina. Ntahitaji na busara za wazazi wake
3.Kama atakuwa mme wa mtu: Itakuwa kama namba 1 hapo juu pamoja na nyongeza ya mimi kummegea mkewe na mabinti zake kabla sijamhamishia mochware
4.Kama atakuwa kijana mwenye heshima yake na mwenye elimu/kipato cha kueleweka, atafungishwa ndoa ya mkeka. Akiikataa namba moja itaaply
Kuna haja ya kuendelea zaidi au nimeshaeleweka?