Wanaume na ndoa!

Wanaume na ndoa!

closed kivipi? si tunaweza kuendele kutumia kiwanja hiki hiki hata kwa mazoezi tu? (maofutopiki i mean)

Nilijua tu..... Haya niambie umenimisi kwa pasenti tisini na ngapi vile?
 
asanteni kwa kila aliechangia! lets close this topic and start something we can both enjoy!


Aaaaaaaaa aaaaaaaaaaaa Mbona unakimbilia ku cloz!

Sahisha kauli yako kuwa HATUOGOPI.................bali HATUPENDI kuwa presharaizd!
 
Better to have a plain wife for yourself than a beautiful wife for others.


"I'm not afraid of storms, for I'm learning to sail my ship

"The Following User Says Thank You to Mom For This Useful Post:

Chrispin (Today)


:closed_2::closed_2::closed_2:
he!
 
huo uutupu mi ndo umenikwaza wala si flexibility

Are you sure the contortionist depicted in the avatar is nude? if yes, then I think nudity needs to be redefined...
 

Attachments

  • Flexible.jpg
    Flexible.jpg
    25.7 KB · Views: 41
YEPI ilo kubali kuwa nanyi hata kwa muda mfupi tu wenye everlasting consequences ni JUKUMU tosha:A S tongue:

nani alisema hii mada imefungwa na watu bado wana vyoint kibao hapa??
 
Mom,

Ukiona mtu hataki kitu fulani ni kwamba ameona hakina faida kwake. Same goes for ndoa. Asiyetaka ndoa ni kwamba haoni faida yake.

Swali jingine pia la kujiuliza ni kwa nini wanawake wanapenda sana ndoa?

Labda ndoa ina faida kubwa kwa wanawake na hatari / hasara kwa wanaume.
 
Mom,

Ukiona mtu hataki kitu fulani ni kwamba ameona hakina faida kwake. Same goes for ndoa. Asiyetaka ndoa ni kwamba haoni faida yake.

Swali jingine pia la kujiuliza ni kwa nini wanawake wanapenda sana ndoa?

Labda ndoa ina faida kubwa kwa wanawake na hatari / hasara kwa wanaume.

kweli wanaume wengi huingia kwenye ndoa kwa sababu wanawake walitaka hivyo. lakini kwani hasara kwa wanaume iko wapi?
 
kweli wanaume wengi huingia kwenye ndoa kwa sababu wanawake walitaka hivyo. lakini kwani hasara kwa wanaume iko wapi?

Baadhi ya hasara kwa mtizamo wa kiumeni ni:

1. Kupoteza uhuru wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengine (wanaume wanapenda sana "kubadili mboga", hata mwanamke wake awe mzuri vipi)
2. Kuingiliwa katika maisha yake. Wanawake huwa wanapenda kujua kila kitu kuhusu waume zao. Wengi hawawezi kujizuia kuchungulia simu za waume zao. Sasa wanaume wengine hawapendi hili, wanapenda kuwa na privacy kwenye baadhi ya maeneo. Ila ni vigumu kumficha mtu unayelala naye kila siku especially anapokuwa mdadisi.
3. Kupora utajiri wake ikitokea talaka. Wanaume wengi hawakubaliani na falsafa ya kwamba kuwa mke wa fulani ni qualification ya kupata nusu ya mali zake. Bora kuwe na mkataba wa ndoa, na mkataba wa "Business Partnership" kama unataka mgao wa mali. Lakini sio utaratibu wa sasa ambapo Mkataba wa Ndoa automatically unatumika kama Business Partnership linapokuja suala la talaka.

Sasa na wewe nipe faida za ndoa kwa mwanaume, na je faida hizo ni lazima kuwe na ndoa ndio azipate?
 
Back
Top Bottom