Wanaume na wanawake wa Dar mnachekesha sana...

Wanaume na wanawake wa Dar mnachekesha sana...

Utavaaje koti shambani wakirud nyumban wanajikusanaya kwenye moto wanaanza kuota sasa muda na aina za makoti watajulia wap?
Mna mambo nyie kujua aina ya makoti pia ni sifa. Kweli nyie wanaume wa dar
 
Huyu inabd asubir subir tukamtembeze kwenye fly over ya tazara na lile daraja la salenda la kupita baharin
washukuru sana technolgy hii JF wangekua wanaiona kwenye TV ile case ya kina Max
Kuna mmoja aliuliza huku eti huu umeme unavyokatika mara kwa mara... mabasi ya mwendo kasi yana tija gani.

Nilivyojua ni mchunga mbuzi wala sikuhangaika kumwelimisha
 
Mna mambo nyie kujua aina ya makoti pia ni sifa. Kweli nyie wanaume wa dar
Sasa unafikr kila koti unavaa enhee sio kila koti jeupe daktari wengne wauza nyama mama shaur yako
 
Kuna mmoja aliuliza huku eti huu umeme unavyokatika mara kwa mara... mabasi ya mwendo kasi yana tija gani.

Nilivyojua ni mchunga mbuzi wala sikuhangaika kumwelimisha
Ha ha ha ha ha dah et umeme na mwendokas duuh nmecheka sanaa ha ha ha ha
 
Huyu inabd asubir subir tukamtembeze kwenye fly over ya tazara na lile daraja la salenda la kupita baharin
washukuru sana technolgy hii JF wangekua wanaiona kwenye TV ile case ya kina Max
Hahahaa! Mbona sijasikia kwenye taarifa ya habari kama vipo hivyo unavyovisema.
 
Kuna mmoja aliuliza huku eti huu umeme unavyokatika mara kwa mara... mabasi ya mwendo kasi yana tija gani.

Nilivyojua ni mchunga mbuzi wala sikuhangaika kumwelimisha
Hilo ndio tatizo mnajua vitu halafu ni wachoyo kutoa elimu. Kwani babu ungemuelimisha ungepungukiwa nini.
 
Utavaaje koti shambani wakirud nyumban wanajikusanaya kwenye moto wanaanza kuota sasa muda na aina za makoti watajulia wap?
Mwisho wa siku huo moshi wa hizo kuni unawaathiri macho.Halafu wanaanza kuuwana kisa macho mekundu ni wachawi.
ndo ujue ujinga ni donda la kichwa.
 
Tunawashukuru sana tatizo mna viherehere. Tukiamua kuagiza mchele wa malaysia viazi vyenu mtawalisha nguruwe. Shauri zenu...
Tunamuamini mheshimiwa hawezi kukubali kirahisi wakati sisi tunalima huku nyie mkanunue mchele nje hivyo mtake msitake mtanunua tu
 
Mwisho wa siku huo moshi wa hizo kuni unawaathiri macho.Halafu wanaanza kuuwana kisa macho mekundu ni wachawi.
ndo ujue ujinga ni donda la kichwa.
Acha kumbe uchawi wanautengeneza wao wenyewe halafu badae wanataka tuwasaidie kusema ili waonewe huruma
 
Tunamuamini mheshimiwa hawezi kukubali kirahisi wakati sisi tunalima huku nyie mkanunue mchele nje hivyo mtake msitake mtanunua tu
Ushamba mzigo ziliachwa nyanya tu mkapiga kelele mwez mzima
 
Mtoa Ujumbe rudi Facebook ukaweke status kama hizo ila kama we unamawazo chanya basi leta vitu vya maana humu sio mambo ya kitoto ya fb
 
Kwan huko mikoan mna Chanel gan zaid ya TBC jion mnakutana kwa baloz kuangalia
Uzuri kwenye TBC tunapata vitu vya maana sio kama nyie huko mnaishia kuangalia miziki tu hata kama nchi imepinduliwa hamjui.
 
Uzuri kwenye TBC tunapata vitu vya maana sio kama nyie huko mnaishia kuangalia miziki tu hata kama nchi imepinduliwa hamjui.
Embu tunza bas huo ufahamu ulionao kidogo maana dah unasema TBC unapata vitu vya maana mmesahau mh anapenda 360 enhee??
 
Back
Top Bottom