Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,613
Huna busara hata chembe dogo. Yani kwako selfie ni kitu muhimu sana eti! Huu ni ushamba utokanao na kupata smartphone ukubwani.Huu ndiyo ukweli wanawake na wanaume wasiopenda kupiga selfie wanasura mbaya, hawajipendi, hajiamini pia hawapendi kuona sura zao maana ni mbaya na hazina mvuto.
Usitokwe povu huu ndiyo ukweli.