Wanaume na wanawake wasiopenda kujipiga selfie wana sura mbaya

Ungelijua nilivyo mbaya
Mtoa post amenigusa
Ndio maana unaona povu kwa mbali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
sasa why kila nikiona post zake mapigo yangu Yanaenda mbio?
 
Hiki kizazi cha Facebook & co ni shida tu.

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Some of us are very handsome, it's just we don't like or in other words "no time for that"

Pambana na hali yako achana na SURA za watu

Mr Pare
 
Huu ndiyo ukweli wanawake na wanaume wasiopenda kupiga selfie wanasura mbaya, hawajipendi, hajiamini pia hawapendi kuona sura zao maana ni mbaya na hazina mvuto.

Usitokwe povu huu ndiyo ukweli.
Mwanamme akiwa na sura nzuri anaweza akatatuliwa
 
Huu ndiyo ukweli wanawake na wanaume wasiopenda kupiga selfie wanasura mbaya, hawajipendi, hajiamini pia hawapendi kuona sura zao maana ni mbaya na hazina mvuto.

Usitokwe povu huu ndiyo ukweli.
Wengine Wanasema eti kujipiga selfie sababu za kujua kuwa mtu huyo ni mpweke au ana msongo wa mawazo!
 
Huu ndiyo ukweli wanawake na wanaume wasiopenda kupiga selfie wanasura mbaya, hawajipendi, hajiamini pia hawapendi kuona sura zao maana ni mbaya na hazina mvuto.

Usitokwe povu huu ndiyo ukweli.

Sawa mrembo endelea kupiga selfie
 
Mtoa mada atakuwa under 20

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume unapigaje selfie kwa mfano,?huo muda unatoa wapi? Ww endelea tuu kujipiga piga ukishakuwa mwanaume mwenyewe utaacha.
 
Sura mbaya alikuwa nayo Remmy Ongala na kaitoa kwa mtoto wa kitasha kwa swagger tu.

Roho yako mbaya imezidi sura mbaya yoyote kwa ubaya.

Sent from my Kimulimuli
 
Wewe mwenye sura nzuri unamafanikio gani mpaka sasa?

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
baba ako mbona hatumuoni kwenye mitandao ya kijamii akipiga selfie?, katafute hela we fala una majukumu mazito unawaza kupiga selfie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…