Kwa hili povu im sure hujaogaa na boxer umevaa ya jana kisa jana hujatoka na boxer unaiona bado safiYan wewe kama bwana ako haogi, yeye hawez akawa ndio reference kwa wanaume wote. Pambana na hali yako tu mkuu. Mvumilie usimuanike huku JF, haisaidii.
Sasa kama jana SIJATOKA NA BOXER, itakuw imechafukaje wkt sijaivaa..?? Kweli sijatoka na hii boxer nilivaa nyingine kwenda kwny misele yngKwa hili povu im sure hujaogaa na boxer umevaa ya jana kisa jana hujatoka na boxer unaiona bado safi
Hahahahahhahha na hii formulaa sio ya wanaotumiaa vikopo hapa wa vikopo wananawa na kupangusa tu makwapa.......halafu spray nyingiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekumbusha jambo la maana sana lakini uogaji wa hichi kipindi lazima kutumia formular maalumu [emoji116]View attachment 745994
kweli kabisa, upo right mkuuGrown man talk.....unajuaa ukiogaa inakuwa comfortable popote ilaa usipooga hata kutembea na mtu unajishtukiaa
Kwani nini kinachosumbua kuoga mpk iwe issue mrembo..??? Mbona hili sio baridi..?? Niliwahi kusoma Mbeya na nilikuw naoga, hichi kimvua ndo unaona baridi...??Hebu kaoge huko hatutaki tuharufu
Eeh!Hahahahahhahha na hii formulaa sio ya wanaotumiaa vikopo hapa wa vikopo wananawa na kupangusa tu makwapa.......halafu spray nyingiiii
Wanaume wa dar huwajui eehee??kuanziaa 35s wanaogaaa ila chini ya hapo ni ma spray tu mpkaa mahood ilimradi asiogeeKwani nini kinachosumbua kuoga mpk iwe issue mrembo..??? Mbona hili sio baridi..?? Niliwahi kusoma Mbeya na nilikuw naoga, hichi kimvua ndo unaona baridi...??