Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nitaoga [HASHTAG]#26042018[/HASHTAG]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] eti kwa babuUsoni,makwapani miguuni alafu kwa babu wanapasahau
Jumapili kuvaa boxer ni lazima tupate upepo na kuwa free.....ujui kama sisi ni mwili mmojaa na ww vaa zangu lolna nyie mpunguze kuvaa boxer zetu mana sio kwa kuvaliana huku, mnazipanua sana, nikivaa inapwayapwaya mwishowe naacha
Anhaa, bandiko lako unge-specify umri. Kumbe unawaambia watoto..!!! Basi sawaWanaume wa dar huwajui eehee??kuanziaa 35s wanaogaaa ila chini ya hapo ni ma spray tu mpkaa mahood ilimradi asiogee
Watavunda bhn mimi simo kwenye hilo genge la wasioogaSasa inavyoendeleaa si mtavundaa??
hahaha zako laini sanaaa,J
Jumapili kuvaa boxer ni lazima tupate upepo na kuwa free.....ujui kama sisi ni mwili mmojaa na ww vaa zangu lol
Kwani nani anataka umkombatie??Habari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga
Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....
Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo
Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana
Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
sisi ni mwili mmoja , ukioga wewe ndo nimeoga na mm ivo , [emoji23]J
Jumapili kuvaa boxer ni lazima tupate upepo na kuwa free.....ujui kama sisi ni mwili mmojaa na ww vaa zangu lol
Usiku haujaotaaa kweli wew??vi wet dreams
Huna jipya.....wivu unakutesa...mwanaume kazi weweHabari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga
Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....
Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo
Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana
Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
Mimi siku ya 3, mpk nywele zinawasha[emoji125][emoji125][emoji125]Habari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga
Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....
Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo
Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana
Mambembe the unstoppable
Queen off all weather