Wanaume nawakumbusha kuoga kipindi hiki cha mvua

Wanaume nawakumbusha kuoga kipindi hiki cha mvua

J
na nyie mpunguze kuvaa boxer zetu mana sio kwa kuvaliana huku, mnazipanua sana, nikivaa inapwayapwaya mwishowe naacha
Jumapili kuvaa boxer ni lazima tupate upepo na kuwa free.....ujui kama sisi ni mwili mmojaa na ww vaa zangu lol
 
Habari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga

Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....



Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo

Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana





Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
Kwani nani anataka umkombatie??
 
Mmoja wapo mm cjaogaa wala kuswaki hvyo mtu asinigusee hapo oficin crdb,,,
 
Habari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga

Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....



Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo

Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana





Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
Huna jipya.....wivu unakutesa...mwanaume kazi wewe
 
Habari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga

Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....



Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo

Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana





Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
Mimi siku ya 3, mpk nywele zinawasha[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom