Nimeipenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekumbusha jambo la maana sana lakini uogaji wa hichi kipindi lazima kutumia formular maalumu [emoji116]View attachment 745994
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekumbusha jambo la maana sana lakini uogaji wa hichi kipindi lazima kutumia formular maalumu [emoji116]View attachment 745994
Hahah!!Nimeipenda
Habari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga
Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....
Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo
Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana
Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
Hahahaaa...baridi haijawahi kumuacha mtu salama!Hahah!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekumbusha jambo la maana sana lakini uogaji wa hichi kipindi lazima kutumia formular maalumu [emoji116]View attachment 745994
HahahHahahaaa...baridi haijawahi kumuacha mtu salama!
Hahah!!...Nikiwa Arusha na sitaki kuoga maji ya moto hizi swaga zinatumikaga sana.
Maji unayapa mgongo halafu unayakwepa.
Hahah!!...
Maji ni adui wa haki ya binadamu hasa kipindi kama hii mkuu..
Na huo mfumo ndio silaha pekee ya kukabiliana nayo...
[emoji23][emoji23][emoji23]...
Hahah!!Kabisa yaani, mimi huwa siyo mpenzi wa maji ya moto, mpaka niwe naumwa au baridi iwe ya ukweli hasa.
Nikiwaga Arusha natesekaga sana, ila kuna mbinu ya kupaka sabuni mwili mzima, then ndo unajimwagia maji, unakuwa kama umepunguza ukali.
Mbeya mwezi wa saba maji ya moto ni lazima.
Mmmmmmmh kuogaa muhimu bossMimi leo siogi, sitoki ndani labda nifate pombe tu pale grocery.
Nina mihogo yangu humu ndani naichemsha, naenda buchani kwa mangi kitafuta nusu kilo nitengeneze soup.
Hasara ya kutokuwa na backup mtaani inanikuta. Ningepiga simu tu njoo mara moja. Sasa napambana mwenyewe tu.
Inategemea kama nlioga uckuNa msiooga asubuh