Wanaume nawakumbusha kuoga kipindi hiki cha mvua

Wanaume nawakumbusha kuoga kipindi hiki cha mvua

Habari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga

Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....



Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo

Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana





Mambembe the unstoppable
Queen off all weather

Mimi leo siogi, sitoki ndani labda nifate pombe tu pale grocery.

Nina mihogo yangu humu ndani naichemsha, naenda buchani kwa mangi kitafuta nusu kilo nitengeneze soup.

Hasara ya kutokuwa na backup mtaani inanikuta. Ningepiga simu tu njoo mara moja. Sasa napambana mwenyewe tu.
 
Nikiwa Arusha na sitaki kuoga maji ya moto hizi swaga zinatumikaga sana.

Maji unayapa mgongo halafu unayakwepa.
Hahah!!...

Maji ni adui wa haki ya binadamu hasa kipindi kama hii mkuu..

Na huo mfumo ndio silaha pekee ya kukabiliana nayo...

[emoji23][emoji23][emoji23]...
 
Hahah!!...

Maji ni adui wa haki ya binadamu hasa kipindi kama hii mkuu..

Na huo mfumo ndio silaha pekee ya kukabiliana nayo...

[emoji23][emoji23][emoji23]...

Kabisa yaani, mimi huwa siyo mpenzi wa maji ya moto, mpaka niwe naumwa au baridi iwe ya ukweli hasa.

Nikiwaga Arusha natesekaga sana, ila kuna mbinu ya kupaka sabuni mwili mzima, then ndo unajimwagia maji, unakuwa kama umepunguza ukali.

Mbeya mwezi wa saba maji ya moto ni lazima.
 
Kabisa yaani, mimi huwa siyo mpenzi wa maji ya moto, mpaka niwe naumwa au baridi iwe ya ukweli hasa.

Nikiwaga Arusha natesekaga sana, ila kuna mbinu ya kupaka sabuni mwili mzima, then ndo unajimwagia maji, unakuwa kama umepunguza ukali.

Mbeya mwezi wa saba maji ya moto ni lazima.
Hahah!!

Hii ya kupaka sabuni mwili mzima ni kama unajipa ulazima wa kujimwagia maji maana huwezi kutoka na sabuni mwilini
 
Mimi leo siogi, sitoki ndani labda nifate pombe tu pale grocery.

Nina mihogo yangu humu ndani naichemsha, naenda buchani kwa mangi kitafuta nusu kilo nitengeneze soup.

Hasara ya kutokuwa na backup mtaani inanikuta. Ningepiga simu tu njoo mara moja. Sasa napambana mwenyewe tu.
Mmmmmmmh kuogaa muhimu boss
 
Hahah!!...

Maji ni adui wa haki ya binadamu hasa kipindi kama hii mkuu..

Na huo mfumo ndio silaha pekee ya kukabiliana nayo...

[emoji23][emoji23][emoji23]...
Hata huu.mfumo.ni wachache wanautumiaa
 
Back
Top Bottom