Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inategemea, ila nyie ni shida, mi naweza nikapitisha siku bila kuoga, ila wewe ukipitisha siku , lazima hiyo pichu upige chafyaaaaa , lakini ss hata ukiinusa iko poa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wee
Mmmmh wanaume wana majasho mabayaa saanaa
Hapana inategemea na mtu ,tatizo nyie mmekremisha kuwa wanawake wanaharufu lakin sio kweliinategemea, ila nyie ni shida, mi naweza nikapitisha siku bila kuoga, ila wewe ukipitisha siku , lazima hiyo pichu upige chafyaaaaa , lakini ss hata ukiinusa iko poa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa mvuaaa hii wachache saaanaa wanaogaa
Sawaa boss..hope now ushaogaa
weeeeeeee [emoji23]Hapana inategemea na mtu ,tatizo nyie mmekremisha kuwa wanawake wanaharufu lakin sio kweli
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekumbusha jambo la maana sana lakini uogaji wa hichi kipindi lazima kutumia formular maalumu [emoji116]View attachment 745994
Hahah!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli kabisa
Unapashaaa maji kwenye Jiko la gesiiiShoo maji kama yamewekwa ice cube