1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
haya banaaaa,Hiyo unaijuaaa ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya banaaaa,Hiyo unaijuaaa ww
Hiyo tabia mbaya haujaacha tu!!!kwa kweli mimi siogi
Tanguliaaa najaa...sugua mgongo
hao watakuwa wa huko kwenu..mwanaume anakoga mara mbili kwa siku, asubuhi na usiku, na pengine akitoka kukitumbua anakoga tena mara ya tatu..
Mkuu unajipendekeza kwa mademu wa humu, nakuhakikishia kwamba umeongea kwa kujipendekeza.
Kama siyo.... mwanaume haogi mara 3 kwa siku.
Ni asubuh na usiku na hiyo asubuh yenyewe mshike mshike
nijipendekeze ili iweje?
nimesema mwanaume anaoga mara mbili asubuh na usiku na ikitokea akapa papuchi hata mara tatu anaweza kuoga.. yaani asubuhi usioge, saa ya kupumzika jioni usioge ia, wewe utakuwa mtu wa namna gani
Nimekwelewa, mimi kuoga siyo fani yangu.
Ningeweza nisingeoga kabisa, ila ndo inabidi tu.
hahaaaah poa poa mkuu, uko mufindi nini
wewe ndio ulinifundishaHiyo tabia mbaya haujaacha tu!!!
Bora hiyo harufu yake sio kali,jamani.kuna wale pafyumu zina harufu kali ukikaa nae dk mbili unaumwa kichwa na mafua kabisaMe yang (nivea men) tu
Naona hutaki kuoga shemShem nakusalimia
Hahahaaa!! Ushindwe!wewe ndio ulinifundisha
Ulisema uko single,ni nani huyo anavaaga boxer zako?na nyie mpunguze kuvaa boxer zetu mana sio kwa kuvaliana huku, mnazipanua sana, nikivaa inapwayapwaya mwishowe naacha
Maisha ya shuleee aiseee umenifanya nicheke kwa sautHahah!!