1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
mkuu huna jiko la gas!Inategemea kama nlioga ucku
Na nkalala pekeang hyo asubuh
Cjui naenda kuoga nn zaid ya
Kukwazwa na maji bard tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu huna jiko la gas!Inategemea kama nlioga ucku
Na nkalala pekeang hyo asubuh
Cjui naenda kuoga nn zaid ya
Kukwazwa na maji bard tu
Kwahiyo unataka kusema kwa wengine ata huu mfumo bado ni mtihani kwa baadhi ya wadau?Hata huu.mfumo.ni wachache wanautumiaa
Hahah!!
Hii ya kupaka sabuni mwili mzima ni kama unajipa ulazima wa kujimwagia maji maana huwezi kutoka na sabuni mwilini
Mkuuu jiko lipo Sasa ile unaamkamkuu huna jiko la gas!
Mmmmmmmh kuogaa muhimu boss
Me yang (nivea men) tuSipendi mtu aliepaka mapafyumu makali afu hajaoga,yani hiyo harufu nnaweza nikapata na homa kabisa
Hahah!!Inaua makali ya ubaridi...
Shem nakusalimiaSipendi mtu aliepaka mapafyumu makali afu hajaoga,yani hiyo harufu nnaweza nikapata na homa kabisa
pole mkuu wifi yetu anava boxer zakona nyie mpunguze kuvaa boxer zetu mana sio kwa kuvaliana huku, mnazipanua sana, nikivaa inapwayapwaya mwishowe naacha
ila sawa, ss wanaume hatuna jasho kali kama wao,,Mkuuu jiko lipo Sasa ile unaamka
Na haraka af ukiwaza folen, huko njian,
Umechelewa kuamka, aiseee bafu mda
Huo nalipita kama silion
hahaha hazard najua mjuzi wa hizi perfyumSipendi mtu aliepaka mapafyumu makali afu hajaoga,yani hiyo harufu nnaweza nikapata na homa kabisa
Hahah!!
Pia inazuia mwili kupatwa kwa maji mara kwa mara uwapo bafuni..
Maana hapo ni mmwago mmoja tu wa maji umeshamaliza...
Basi ana element za kishoga huyoAnaogaa kutwa mara tatu
adhiHabari,
Jaman nawakumbusha wanaume kuogaa mvuaa isiwe kikwazo cha nyie kutokuogaaa,ikaja kuwa kivumbi huku maofisini kwa harufu za perfum zilizo changanyika na kutokuoga
Yes i know wengi mta take advantage ya kuoga jana bt please ogeni ndo mje maofisini....
Nb:staki povu coz im sure 60% hamjaoga leo
Wadada leo msikubali kukumbatiwa hovyo manake najua leo jumatatu wanajifanyaga kuhug hug kisa it was weekend hamjaonana
Mambembe the unstoppable
Queen off all weather
Hahah!!Yes, hiyo ndo point kubwa.
Nakumbuka tukiwa wadogo baba alikataa tusichemshiwe maji na mama, eti mama anamchemshia mume wake tu, sisi tusubiri tukioa ndo tuchemshiwe.
Kwa hiyo mbinu hizi ni toka zamani, sema baba akiwa hayupo mama alikuwa anatuchemshia.
[emoji23] [emoji23]pole mkuu wifi yetu anava boxer zako