Wanaume nchini kuvalia njuga suala la binti wa Yombo ni sababu imehusisha 'mchepuko'?

Wanaume nchini kuvalia njuga suala la binti wa Yombo ni sababu imehusisha 'mchepuko'?

Wanajikuta kujisahaulisha na kujifanya kwa kwanza kuchukia ushoga wakati wenyewe ndio walaji[emoji23][emoji23]
Hapoo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu mko salama?

Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile

Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea kumuhusu 'binti wa Yombo' na wabakaji waliotumwa na 'Afande'.

Kilichonishangaza siyo kwa polisi kujaribu kuwatetea wabakaji maana hili ni katika kusafisha jina lao, tunategemea watafanya kila njia kuhakikisha image yao inaendelea kuwa safi, labda kama mtuhumiwa atakuwa na mkono mfupi hapa unachomwa tu tena kwa hasira😅.

Mshangao wangu upo kwa wanaume wa kibongo kutetea kwenye suala la sexul abuse (unyanyasaji wa kingono) bila kusema "Akome kula vya watu", "Alifikaje humo chumbani?", "Huyu alijitakia," "Lazima kuna sababu hawezi tu kufanyiwa hivi hivi" na list inaendelea. Maana wanaume wengi ni kama huwa wanaona kuna ka justification kwenye unyanyasaji kwa wanawake, ishu ikitokea utasikia kwani alifanya nini? Lazima tu itakuwa kuna sehemu amekorofisha ndio maana amefanyiwa hivyo.

Je, ni kwasababu anayedaiwa kuwatuma wale watu ni 'Afande' au sababu ni ishu ya mchepuko?

Kwenu wana MMU
Umeuwahisha sana huu mjadala, kwani kwa wakati huu hauna afya na unaleta picha kuwa umeamua kutufanya tujue upande wako kwenye suala hili.

Tumwache huyu binti kwanza, maana amefanyiwa ukatili mkubwa sana.

Ova
 
Sasa hapo unataka wanaume tuseme nini? mwanaume mwenzetu alipata pa kuondolea stress za nyumba kubwa, na nyumba kubwa kafanya uharibifu wakat yeye hajui kumtuliza mume, kwahiyo sisi wanaume tunasimama upande wa Binti alichofanyiwa ni ukatili mkubwa sana, binti alikuwa na majukumu mazito kuhakikisha mwanaume mwenzetu anaishi maisha mazuri na marefu
 
Madai yako ni yapi haswa, kwamba hii ishu imevaliwa njuga na wanaume kuliko wanawake??
 
Back
Top Bottom