Wanaume ni kama watoto wadogo kwenye mahusiano

Wanaume ni kama watoto wadogo kwenye mahusiano

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wanaume katika mahusiano huwa hatukui, sisi huwa ni watoto wadogo, na tunategemea wanawake walijue hilo.

Mnapokuwa kwenye mahusiano na sisi, jitahidini mtulee kama watoto wadogo; ndio maana kabla ya kupata mtoto, mwanaume (mume) hujulikana kama mtoto wa kwanza, na mwanamke huitwa mama y, na hiyo y ni jina la mumewe.

Mkishindwa kutulea kama watoto, tutaendelea kuchepuka kwa kutafuta huduma sahihi uko nje ambako zinapatikana.

Ni aibu sana, kwa mwanamke kumwambia mpenzi wake kuwa, leo sikupi au tuwe tunafanya labda mara mbili kwa wiki; kwa kifupi tutawakimbia.​
 

Ni aibu sana, kwa mwanamke kumwambia mpenzi wake kuwa, leo sikupi au tuwe tunafanya labda mara mbili kwa wiki; kwa kifupi tutawakimbia, na mtaendelea kuwa singo maza mpaka akili ije ikae sawa.​

Hakika kumnyima mume sio aibu peke yake ni dhambi pia

1 WAKORINTO 7:5
"Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu."
 
167d84e7-3b65-4cd3-a13b-92d4327ea035.jpg
 
Hakika kumnyima mume sio aibu peke yake ni dhambi pia

1 WAKORINTO 7:5
"Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu."
Na hili neno, mkalitafakari
 
Back
Top Bottom