Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
weka namba ya mawasiliano, hatutaki ufe kwa njaa mrembo; mbinguni tutaulizwakama unakuja na kiroba cha mchele ntakuelekeza ninapokaa saiz 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka namba ya mawasiliano, hatutaki ufe kwa njaa mrembo; mbinguni tutaulizwakama unakuja na kiroba cha mchele ntakuelekeza ninapokaa saiz 🤗
Na hizo nywele zako kila sehem bado unataka ulelewe kama mtoto mdogo mhhhh.Wanaume katika mahusiano huwa hatukui, sisi huwa ni watoto wadogo, na tunategemea wanawake walijue hilo.
Mnapokuwa kwenye mahusiano na sisi, jitahidini mtulee kama watoto wadogo; ndio maana kabla ya kupata mtoto, mwanaume (mume) hujulikana kama mtoto wa kwanza, na mwanamke huitwa mama y, na hiyo y ni jina la mumewe.
Mkishindwa kutulea kama watoto, tutaendelea kuchepuka kwa kutafuta huduma sahihi uko nje ambako zinapatikana.
Ni aibu sana, kwa mwanamke kumwambia mpenzi wake kuwa, leo sikupi au tuwe tunafanya labda mara mbili kwa wiki; kwa kifupi tutawakimbia.
Equation x ni kweli unataka kunyolewa vuzi....Na hizo nywele zako kila sehem bado unataka ulelewe kama mtoto mdogo mhhhh.
😂😂😂Weeeeh
Acha hizo, njoo utulee 😀 😀Na hizo nywele zako kila sehem bado unataka ulelewe kama mtoto mdogo mhhhh.
😂😂😂Weeeeh
Miaka 15 sijawahi kugusa huko hiyo ndio kazi yaoEquation x ni kweli unataka kunyolewa vuzi....
mkeo ana kazi sanaMiaka 15 sijawahi kugusa huko hiyo ndio kazi yao
Mim kwa kweli hapana siwezi😁😁😁Acha hizo, njoo utulee 😀 😀
😂😂😂Equation x ni kweli unataka kunyolewa vuzi....
Nitakufundisha a e i o uMim kwa kweli hapana siwezi😁😁😁
Kheee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Mtoto mwenyewe eboo
Mrembo MariposaKheee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]