Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ugali wa mtama na mlenda ๐Umekula???
๐ ๐Ugali wa mtama na mlenda ๐
Ni aibu sana, kwa mwanamke kumwambia mpenzi wake kuwa, leo sikupi au tuwe tunafanya labda mara mbili kwa wiki; kwa kifupi tutawakimbia, na mtaendelea kuwa singo maza mpaka akili ije ikae sawa.
Hao ni wavivuHahaha,
Wenyewe wanasema sie hatutosheki.
Na hili neno, mkalitafakariHakika kumnyima mume sio aibu peke yake ni dhambi pia
1 WAKORINTO 7:5
"Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu."
Na hili neno, mkalitafakari
ha ha ha, kwa ulimwengu wa sasa, A akikunyima unaenda kwa B, C n.kPrint vizuuuuuri uwapelekee wanaokunyima
Hawakutendei haki kabisaaa
๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
ha ha ha, kwa ulimwengu wa sasa, A akikunyima unaenda kwa B, C n.k
Wakati mwingine inakuwa ngumu, hasa kwa wale walio kwenye ndoaHapana A akikunyima mwache mazima
Unapoenda kwa B na C na yeye anaenda kwa D na E
Achaneni kila mtu afurahie life lake
usijali nipe namba nimfundishe namna ya kukulea๐๐Njoo unilee ๐ ๐
nichek in nikupe namba yake ๐usijali nipe namba nimfundishe namna ya kukulea๐๐