Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Siku zote sumaku hunasa vitu vyenye asili ya chuma hivyo uchigonga kwa mwanaume alizima atakugonga hivyo basi baada ya kugundua hili kina dada inabidi usiwakubali kirahisi wanaume maana kuna wengine wanajua yule jamaa ana yule bidada na alipita na yule lakini baadae akitokewa anakubali (hapo wenye tatizo ni kidada maana wanaume wakati mwingine huwa wanafanya mazoezi ya kutongoza ili wasisahau matokeo wanakubaliwa)