kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu
Pole sana,ndio mambo ya ndoa yalivyo. Ukiwa umetulia zako kwenye ndoa subiria kupigwa na kitu kizito.Mwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu
Jiangalie vizuri kwa kiwango cha darunini ya wataalam wa kuangalia nyota. Bila shaka kuna eneo hutimizi wajibu wako Ipasavyo. Pengine u feminism umekuzidi au una lugha chafu. Maeneo ya kujichunguza ni mengi. Re examine yourself criticallyMwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu
Ni Mwanamke Mpumbavu ( Doltish ) pekee ndiyo hajui kuwa Sifa / Tunu Kuu ya Mwanaume yoyote yule aliye Rijali ni Kutia / Kukaza hovyo hovyo na Kunakotukuka.Mwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu
Mwanaume aliumbwa kwa mfano wa Mungu ili awe mtawala chini ya jua. Na miongoni kikubwa anachotakiwa kukitawala ni hisia zake mwenyewe. Mwanaume akishindwa kutawala hisia zake mwenyewe atatawaliwa na shetani.Najua baadhi ya wanaume watamtetea mwenzao, na iwe chai ama ukhalisia ila ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao ni very cheap, some men are just for every woman, yaani standard ni kitu hawajawahi kuwa nacho kabisa..!!
you guys, can't you save your energy and time for sth better and worth for..??
Hadi grinder huenda ana account huko
umefukunyua sana bado kwenye galley yakeujaenda , unashangaa anarudi anakuuliza "umemalaiza kulia tiale mke wangu"Mwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu
Hata kama,je Kati ya hao woooote hajapata hata mmoja basi atulie naye angalau awe na mchepuko mmoja,sasa yeye katongoza wanawake wote mitandaoni ,huyu ni binadamu kweli?Jiangalie vizuri kwa kiwango cha darunini ya wataalam wa kuangalia nyota. Bila shaka kuna eneo hutimizi wajibu wako Ipasavyo. Pengine u feminism umekuzidi au una lugha chafu. Maeneo ya kujichunguza ni mengi. Re examine yourself critically
Sema mwanaume wako ni wa hovyo, usinijumlishe kwenye list yako tafadhari..!!!Mwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu
Wanaume tumeumbwa na huruma sana...Ni nadra msichana kumtaka mwanaume na mwanaume huyo eti aseme "Nina mtu wangu"Najua baadhi ya wanaume watamtetea mwenzao, na iwe chai ama ukhalisia ila ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao ni very cheap, some men are just for every woman, yaani standard ni kitu hawajawahi kuwa nacho kabisa..!!
you guys, can't you save your energy and time for sth better and worth for..??
Mwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu
Ndivyo ulivyoumbwa wewe na wahuni wenzakoNdivyo tulivyo"UMBWA"
Tunazidiana ukicheche aisee, ila jamaa ni hatariMwanamke anakuheshimu,anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa
Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart,kwa bahati mbaya kasahau kulock kawaida yake maana kakurupushwa na kaondoka na sim ndogo kaacha smart
Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika
Nikaenda messenger ya fb nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake,wengine akiwatongoza,wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndo text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating
Nikagundua friendlist Kati ya 4552 alionao fb wanaume ni 20 tu hivo hivo kwenye Instagram ,amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile
Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani ,wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my ,
Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu
Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi Botswana kulingana na chating zao
Nikataka niende WhatsApp,mikono ikatetemeka nikaacha
Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni,ukimuuliza mbona bize sana,anakujibu biashara mara betting kumbe michepuko
Sina hamu