Wanaume ni wa ovyo sana

Hahahaha
Makofi kwakeee
 
Pole sana,ndio mambo ya ndoa yalivyo. Ukiwa umetulia zako kwenye ndoa subiria kupigwa na kitu kizito.
Tuliza kichwa ili ukitaka kufanya maamuzi usije kufanya maamuzi kwa hasira
 
Jiangalie vizuri kwa kiwango cha darunini ya wataalam wa kuangalia nyota. Bila shaka kuna eneo hutimizi wajibu wako Ipasavyo. Pengine u feminism umekuzidi au una lugha chafu. Maeneo ya kujichunguza ni mengi. Re examine yourself critically
 
Ni Mwanamke Mpumbavu ( Doltish ) pekee ndiyo hajui kuwa Sifa / Tunu Kuu ya Mwanaume yoyote yule aliye Rijali ni Kutia / Kukaza hovyo hovyo na Kunakotukuka.
 
Mwanaume aliumbwa kwa mfano wa Mungu ili awe mtawala chini ya jua. Na miongoni kikubwa anachotakiwa kukitawala ni hisia zake mwenyewe. Mwanaume akishindwa kutawala hisia zake mwenyewe atatawaliwa na shetani.
Shetani ndio provider wa magonjwa, umasikini na kifo.
 
umefukunyua sana bado kwenye galley yakeujaenda , unashangaa anarudi anakuuliza "umemalaiza kulia tiale mke wangu"
 
Jiangalie vizuri kwa kiwango cha darunini ya wataalam wa kuangalia nyota. Bila shaka kuna eneo hutimizi wajibu wako Ipasavyo. Pengine u feminism umekuzidi au una lugha chafu. Maeneo ya kujichunguza ni mengi. Re examine yourself critically
Hata kama,je Kati ya hao woooote hajapata hata mmoja basi atulie naye angalau awe na mchepuko mmoja,sasa yeye katongoza wanawake wote mitandaoni ,huyu ni binadamu kweli?
 
Sema mwanaume wako ni wa hovyo, usinijumlishe kwenye list yako tafadhari..!!!

Au umetu-test wote ukaona wote TUNASAHAU SIMU?
 
Wanaume tumeumbwa na huruma sana...Ni nadra msichana kumtaka mwanaume na mwanaume huyo eti aseme "Nina mtu wangu"
 
sisi ambao hatuchepuki mnatupiga vizinga mpaka tunawachoka.

Mungu kakupa wa kufanana nae..
 
Dada etu hawezi taja vyote alivyo ona huko Inbox... Kama aliwala watu kibao akawa acha vipi kuhusu wewe ?
 

Huyo mwanaume wako ni mpumbavu, na sijui umeolewaje naye, haya sasa tutake radhi siye wanaume wengine
 
Sema mwanaume wako ni wa hovyo, usinijumlishe kwenye list yako tafadhari..!!!

Au umetu-test wote ukaona wote TUNASAHAU SIMU?
Kama hutongozi wanawake mitandaoni,nakutoa kwenye list
 
Tunazidiana ukicheche aisee, ila jamaa ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…