Wanaume ni wadudu

Baba ako nae ni mdudu iliuma mama ako ukazaliwa
 
Tatizo nanyi hamjui jinsi mnavyokatisha tamaa. Mara nyingi wanaume tunakuwa wavumilivu wakati nyie mnapokuwa hamjielewi, tukishindwa tunaachia. Tukiachia mnaanza kutuita wadudu.
 
Kama alikuumiza kihisia pasina shaka kuna siku alikufurahisha kihisia sasa
kwanini unaongea mazaifu tu ongea na mazuri yao pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…