ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Tulia andika vizuri acha kuchapia.Kuna mwanamke skidoma hapa atajuzomea.
Kuna mtu ameipata furaha kamili baada ya kumpata mwanaume.
Ok mwanaume wako ni mdudu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia andika vizuri acha kuchapia.Kuna mwanamke skidoma hapa atajuzomea.
Kuna mtu ameipata furaha kamili baada ya kumpata mwanaume.
Ok mwanaume wako ni mdudu
Ni huzuni kwakweli!Kuna ule wimbo unaimbwa “huyu wa sasa akiniacha nitakufa masela”😂😂.
Ikawe heri kwenu dear msiachane.
Wanaumue wa hivyo mnawaotoa wapi, tumlaumu mwekezaji au aliekubali uwekezajiAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Sio poa 🙂Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Kasoro punda tuKikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
Sikulia kwa niliyeachana nae…Kwani ni yule uliyemrudia?
Mkiwachefua,na meli wanadondosha aiseUsijali Nifah
Tulikubaliana pia kufarijiana mambo yakienda ndivyo sivyo manake kimsingi mdudu hakwepeki...tunaishi nao kwa tahadhari
Sisi tupo 😃
AMEEEEEN kubwa sana!Breakup sio jambo kwa kweli
Mungu atuepushe,hapa tulipo ndio ukawe mwisho wa safari
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani wanaume kuwa kwao wadudu kunaweza kuwafikia wanawake ambao wao ni nyoka...
Utajuaje!!! Huenda leo wiki imekata,kapata nafuu na kuweza kusema kilichomkutaWanaume ni wadudu
Mdudu gani sijui kamng’ata That manzi😂😂😂
Ila hakijamuuma… mpaka unapata muda wa kuandika? Alitakiwa sahivi awe analia huko 🤣🤣 Michozi mfululu
Dar-Znz tayari wamefahamiana, wakazoweana na kusaidizanaUmeliwa kimasihara nini? Chezea wewe!
Mwingine kaahidi kulipa kodi,mwenye nyumba kachachamaa,msela haonekani,ahadi mwenye jengo haelewi,bibie kodi alishaserebukia akijua mjinga atalipia,sasa haelewi afanyeje. Hata ya kuhamisha vitu tu huenda noooooo. So?! So what!!!!Wanaume wenzangu kuanzia leo tuongeze umakini, tusikubali Rungu spray Max zinunuliwe na kuwekwa nyumbani. Mtoa mada hachelewi kutupulizia sisi wadudu tukakufa bure 😜😜
===========
Ladies kabla hamjakubali mahusiano vyema kujua lengo la hayo mahusiano yenyewe ili ku-lower expectations. Hii itasaidia kufurahia mapenzi yenu kuliko kukaa na mtu ukijua kuwa atakuoa soon, kumbe mwenzio aliomba mahusiano nawe kwa lengo la kuburudishana tu.
Kivipi?Mkiwachefua,na meli wanadondosha aise
Baba yako ni mduduAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?