Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 78,790 Reaction score 128,275 Jan 2, 2025 #41 Clarity said: Huyo naendana nae nina pea kadhaa ila nazovaa sana ni pea 2 tu Click to expand... Mimi nina zaidi ya 400 lakini mara nyingi narudia chache tu.
Clarity said: Huyo naendana nae nina pea kadhaa ila nazovaa sana ni pea 2 tu Click to expand... Mimi nina zaidi ya 400 lakini mara nyingi narudia chache tu.
mjenziwakale JF-Expert Member Joined Sep 24, 2015 Posts 954 Reaction score 1,469 Jan 2, 2025 #42 Jadda said: In return mnategemea kupewa utii na huduma mbalimbali za nyumbani na wake zenu Click to expand... Daaah aiseee......hvi mtu unawezaje kuwaza namna hii umewaza.....kwamba mtu anajinyima kwa ajili ya kunufaika na utii wa mwanamke wake🤔🤔🤔
Jadda said: In return mnategemea kupewa utii na huduma mbalimbali za nyumbani na wake zenu Click to expand... Daaah aiseee......hvi mtu unawezaje kuwaza namna hii umewaza.....kwamba mtu anajinyima kwa ajili ya kunufaika na utii wa mwanamke wake🤔🤔🤔