Wanaume njoon mnipe jibu

Wanaume njoon mnipe jibu

Ni kweli kabisa kiuhalisia hamna watu rahisi kuruka nao kama mashemeji, besties wa mwanamke na hii wanawake huwa wanajiponza wenyewe kwa kupenda sifa za kijinga, sasa wewe unamuhadithia rafiki yako utamu unaopewa na mumeo unategemea nini?
Kwa kweli, maana kuna wengine wanajua kuhadithiana.

Utasikia Shemeji yako anajua kunanii....na akinanii hakuachi hadi ananii...

Baada ya hapo utaona mazoea kwa Mashemeji inaongezeka, na akikutana na Shemeji kichwa maji lazima tunda liliwe.

Mambo yakija kujulikana na Urafiki unakomea hapo hapo
 
Unataka kusema mkitongozwa hamjui kukataa?

Mbona huku jua kali tunaona Thomas alidatishwa lakini akachomoa mtego? Si mumuige?
Mi mwanamke akinitongoza naona aibu kumkatalia nikiona simpendi namkubali alaf naanza kumpiga chenga, yaan nimkatalie alafu anione siyo mzima?

hata hivyo siyo vizuri akijiskia vibaya je?
 
Mwanaume hutongoza tu...

Mwanamke ndiye mwenye kusema NDIO au HAPANA...

Je, hapa lawama ziende kwa mtongozaji au mtongozwaji aliyekubali saundi?
Kama ni hivyo mbona dada zako hauwatongozi?
 
Jambo jingine ni kujiheshimu kuthamini utu wako na familia yako, kuwa na mipaka sio lazima watu waje kukutembelea ukiwepo mm wife anajua kabisa rafiki zake wa kike wakija mimi natafuta sehemu ya kwenda na watoto au mwenyewe na inasaidia hakuna kuzoeana sana pia mimi kama mimi naepusha mazoea na stori nyingi kwa mashemeji na rafiki wa mke wangu. Pia nazungumza na mwenzangu kuhusu kauli anazotoa kwa rafiki zake sio lazima wajue ya ndani yawe mazuri au mabaya. Ukipata mtu mkaelewana ni rahisi sana kujenga mahusiano yasio tetereka.

Nina mshkaji wangu alichezewa mchezo na alitetereka sana kimaisha, alioa mwanachuo fresh kabisa akawa anaishi nae wenzake wanamtembelea na mwana ni mtu wa totoz akawa anajipendekeza kumbe dem akili mingi akamtega na rafiki zake akanasa mwamba akawa anatoa hela akijua anampa mchepuko ambae ni rafiki wa mke wake siku ya siku mwamba katoa hadi mtaji dogo akadanganya ana mimba huduma zikawa konk kumbe wanampuna alivyoyumba kwakua alifukuzwa kazi na kesi kubwa ilikua mahakamani wakamtema mwamba akaanza mwanzo tena shemeji yangu yule ni akili nyingi leo sio yule wa zamani kapiga hatu na yupo na huyo best yake mpka leo na wana kampuni kabisa wanapiga biashara sio mchezo.

Napigaga stor na dem ananiambia alimpenda sana mwamba ila ujinga wa jamaa na tamaa za aibu kabisa zilimfanya awe jasusi na akatimiza lengo lake.


Mwanangu mpka leo hajajipata kama mwanzo ndugu walimtenga walipojua mkanda mzima na ajabu ni kwamba hapati hata dem wa kusukuma maisha labda akanunue malaya na pesa ndio inampiga chenga muda mwingine anakua kama zimeruka flani hivi
 
hahah kiranga chote komoo!
Hatari sana

Na bahati mbaya hawawezi kuliwa kimya kimya, lazima watataka kutangaza hata huko Saluni kwao.

Hivyo possibility ya Siri kuvuja ni asilimia 99.9 🙌
 
...ukipenda boga penda na ua lake... Ukipenda wife penda na shost zake... Vilevile Ukila pia kula...
 
Wanaume nini kinasababisha mwanaume kuchepuka kwa marafiki wa mkeo au majirani waliokaribu na mkeo???
Ni kweli hamuwezi kutulia na mwanamke mmoja lkn kwann usiende mbali?? hivyo si ni kumdharirisha mkeo jaman??? Mmeumbwaje nyie watu??

Mtu mpaka unaogopa kuzoeana na watu hata kutembelewa na ndugu unaogopa vitapitiwa
Mbona hatujafanya hivyo mama ..!!

Tuambie nini kimekukuta ?
 
Mwanaume ni muindaji nature yaani mwindaji haendi kuwinda mnyama maalum, atakae kuja mbele yake huyo ndie kitoweo chake.
 
Wanaume nini kinasababisha mwanaume kuchepuka kwa marafiki wa mkeo au majirani waliokaribu na mkeo???
Ni kweli hamuwezi kutulia na mwanamke mmoja lkn kwann usiende mbali?? hivyo si ni kumdharirisha mkeo jaman??? Mmeumbwaje nyie watu??

Mtu mpaka unaogopa kuzoeana na watu hata kutembelewa na ndugu unaogopa vitapitiwa
Na nyie wake zetu kabla ya ndoa sukari na mahaba niue tunapewa kama yote. Mkiingia ndoani na kupata mtoto ndio mnaanza sarakasi.
WANAUME TUPONYE WAPE?! 👺😠😡😤
 
Wewe Una uhakika hao wanawake hawajilengesha wenyewe?

Why usilaumu hao ndugu zako Kwa kutokuheshimu wewe dada yao??

Inamaana Mzee mwenzangu wewe Kila atakaejilengesha unapitia nae bila kuangalia makunyanzi?
 
Pole sana inauma sana ukijua tabia halisi ya mwenza wako. Kuna familia moja yenye uwezo sana sasa asubuhi ile chai ni Supu ya sato na ndizi na viazi hatari. Sasa wakati wa kula mama wakimaliza tuu mama anasema tunakula hivi siyo tunapenda sababu ya maradhi yanayotukabili. Sasa weee dada baba akudanganye umkubalie shauri yako yatakayokupata sisi tuna maradhi kibao. Sababu Baba napita na kila sketi inayopita mbele yake.
 
Back
Top Bottom