Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Waache kulia Lia ule uongo wao hasa mkuyenge tu ukishazama,Mimi ntajitahidi dakika 2,ila manzi akianza Lia Lia wazungu wanawahi kinoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ......ile Ni next level[emoji28]Tafadhali mkuu yaani hata ile pisi iliyokuwa inachezesha NIDO kwenye utambulisho wa jezi nayo imo kwenye huu mkumbo?!🙄[emoji1787]
Hao ndio wazuri kuwakomoa unapiga kama shuti la Kibu De🤣🤣🤣Demu usiwe shabiki wa Yanga
Huwa inakata sana stimu hii ishu basi tu wanasayansi bado hawajaistukia
Jamani😃😃🤣🤣🤣🙄Demu usiwe shabiki wa Yanga
Huwa inakata sana stimu hii ishu basi tu wanasayansi bado hawajaistukia
Asing'ang'ane na binadam, Angel si malaika kmmq mwambieni akanyanduliwe na angel mwenzakeView attachment 2687836
Mimi namjibu kama ifuatavyo.
Fanya kama mchezo wa kombolela
Mwanamume anadokoa kidogo unakimbia sebuleni akikushika anadokoa tena unaponyoka unaludi chumbani anadokoa hakikisha kilA Akidokoa asitumiee sekonde 25.
Karibuni kwamajibu zaidi.
Unafanya mchezo na hao viumbe 🤣🤣🤣 tena anachagua wensye neema za Allah 😎Huyu si ndio alikuwa anajifanya doctor love huyu? Naona sasa akili zimemrudia baada ya kupigwa tukio.
Nisengekukuta hapa ningekuita hapaYaan Ile amesema kichwa tu tayari....daah..Niliumia mno😔
🤣🤣🤣Kichwa tu chalii🙄Nisengekukuta hapa ningekuita hapa