HahahahahhNgoja nisubiri wazazi wake wafe[emoji848][emoji848]
Ww hujui maana ya yatima ni ambae hana wazazi wote wawili na umri wake ni chini ya miaka 18Hao wakujilliza sana mkuu hawachelewi kulia kidogo Mama kidogo Baba ungekuepooo, Ila kwa kiasi fulani upo sahihi nilijua wale wanaolelewa na Mama mmoja yaan single mother Baba hajulikani alipo,
Yatima asie na mzazi, wewe km ulifiwa na Baba wewe upo group la Yatima na Yatima hadekiWw hujui maana ya yatima ni ambae hana wazazi wote wawili na umri wake ni chini ya miaka 18
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Kweli asee. Haya mambo hayana formula unaweza sema rafiki yangu kaoa mke kutoka familia flani na mke ametulia wanaishi maisha mazuri na wewe ukajipa mawazo ngoja nikaoe mdogo wake wa mke wa rafiki yangu ukitegemea atakuwa kama dada yake kumbe ni hakuna 😁Hakuna fomula. Kama ulipata usidhani kwamba mayatima wote ni watulivu
NAKAZIA NAKAZIA NAKAZIA NAKAZIA NAKAZIA.Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimb...
UONGO hao ni unazungumzia wapigaji,mods rekebisheni kichwa cha habari kisomeke "Wanaume oeni wanawake wanaoishi mazingira magumu hutojutia".
wanawake wanaoishi kwenye mazingira magumu wanajua kuishikilia ndoa kuliko wanawake yatima.
Ndugu hivi unajua maana ya usemi wa yatima hadeki?Yatima ni yule aliefiwa na mzazi awe mmoja au wote kwa pamoja, uliza swali lingine
Kwa hio mtoto wa Marehemu ni nani?Ndugu hivi unajua maana ya usemi wa yatima hadeki?
Yatima ni mtu asiyekuwa na wazazi wote wawili hiyo ya kwako ya kusema mzazi mmoja ndio naisikia kwako na uzee wangu huu.
Miaka 2 bado sana subiri ifike 10Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimb...
Kwa hio mtoto wa Marehemu ni nani?
Muumin Mwijuma - Kilio Cha Yatima
Tafuta usikilize,
Ndio kwani nimepinga? Kwa wazazi si unaanza mzazi au?
Kuna hii nyingine tena kuhusu 'kiate' na yatima.Ndio kwani nimepinga? Kwa wazazi si unaanza mzazi au?
Hamna kitu km HICHOUkiangalia kwa haraka unaweza ukasema nigga ain't serious ila ukijaribu kutafakari unagundua kumbe ni kweli ni mimi tu ndo sijachunguza.