Sio kila yatima anakua hivyo Mimi sitaki kusimulia, kwanza unazungumzia yatima yupi anaeishi na Mama yake au aliefiwa na wazazi wote Mama na Baba?
Maana yatima au binti anaeishi na Mama yake alafu Baba kafari au wanakwambia tu Baba hajulikani jaribu kufuatilia tabia za Mama usije ukaoa bomu la dakika,
Nishasoma wewe hujanielewa Coco,
Nakazia HojaHakuna fomula. Kama ulipata usidhani kwamba mayatima wote ni watulivu
Suala La Muda TuYatima tumefikiwa
Mwaka Uishe Tu🤣🤣🤣🤣🤣 sijui hata nacheka nini
Mbaazi Ukikosa Maua, Husingizia JuaKo saiv mnatutaka mayatima😀😀😀
Mbombo ngafu
Hoja Imeungwa MkonoIla jf ya kuwa nayo makini sana hasa mashauri ya ndoa na mahusiano
Ya kusikia changanya na yako
Dakika Ya Kwanza Hii[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtanange bado mbichi
SahihiKuna siku mtasema muoe viziwi? Ok ni hv anachosema mtoa mada ni sahihi hata mim nimeoa yatima nikiwa na miaka 19 mpaka leo nina miaka nae 9 so wako vizur
Hii ni case moja tu, haiamaniishi, mabinti wenye wazazi wote, wana kuwa wake wabaya, na mabinti wasio na wazazi, wana kuwa wake wazuri!,Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimbi
Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana
Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo
Kwa kweliMbaazi Ukikosa Maua, Husingizia Jua