Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Sio kila yatima anakua hivyo Mimi sitaki kusimulia, kwanza unazungumzia yatima yupi anaeishi na Mama yake au aliefiwa na wazazi wote Mama na Baba?

Maana yatima au binti anaeishi na Mama yake alafu Baba kafari au wanakwambia tu Baba hajulikani jaribu kufuatilia tabia za Mama usije ukaoa bomu la dakika,


Screenshot_2023-11-01-01-41-23-85_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimbi

Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana

Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo
Hii ni case moja tu, haiamaniishi, mabinti wenye wazazi wote, wana kuwa wake wabaya, na mabinti wasio na wazazi, wana kuwa wake wazuri!,
Kuwa mke mbaya, au mzuri, ni zaidi ya kuwa na, wazazi mmoja, au wawili, ubaya wa mtu ni tabia yake tu, mazingira aliyozaliwa, kukulia, malezi,aliyopata, elimu, nk
 
Mnahangaika sana. Mara usioe mwanamke maskini atakuua abebe mali, usioe mwanamke tajiri atakunyanyasa, usioe mwanamke asielelewa na baba na mama atakua na tabia mbaya, usioe mwanamke mwenye wazazi wote wawili atakua na kiburi.

Kazi ipo na mnakoelekea ni kuoa migomba maana wanadamu wamewashinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom