Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Hatimae mayatima wamefikiwa walisubili sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Mithali 31:10-31 SRUV​

Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake. Mke mwema anatoka kwa Mungu omba kwa Mungu ili akupe mke mwema ndugu yangu
 
Huyu bwege hata yatima ni nini hajui. Shule ulisomea ujinga?
 

Naomba mpigie lamination hii
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mweeeh!!!
 
Tusitafute pesa, tusioe bikra sasa kuna ingizo jipya tuoe yatima.
 
Basi nyie wenye mabinti mfanye kufa mapema ili hao mabinti zenu wawe wake wema kwa waume zao
 
Kwa hiyo unataka kusema wanaume kwa sasa tupumzike kidogo kutafuta hela ili tu kuwaridhisha hawa viumbe wenzetuwa upande wa pili! Na badala yake tuwekeze nguvu kubwa sasa kwenye kutafuta wale wanawake ambao ni yatima, au tufanye vyote kwa pamoja?
 

Bro! Yatima ni mtoto aliyefiwa na wazazi wake wote wawili!! Analelewa na walezi
 
Kwa hiyo unataka kusema wanaume kwa sasa tupumzike kidogo kutafuta hela ili tu kuwaridhisha hawa viumbe wenzetuwa upande wa pili! Na badala yake tuwekeze nguvu kubwa sasa kwenye kutafuta wale wanawake ambao ni yatima, au tufanye vyote kwa pamoja?
Both team to score
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…