Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa, mwanamke akajaza vitimbi

Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana.

Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana.

Na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo.
Kama kuna ukweli Vile,hii ni hoja
 
Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa, mwanamke akajaza vitimbi

Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana.

Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana.

Na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo.
Kwahiyo yatima wote wana tabia zinazofanana
 
Ukioa mwanamke ambaye mama yake ana mkontroo mume wake (yaani baba mkwe wako anachukua maelekezo kutoka kwa mkwe wako wa kike)
Hapo huna ndoa.
Hata ukinywa bia mbili castle lite za baridi lazima habari ifike ukweni, nyumba yako itaendeshwa kwa rimoti. Utapangiwa masharti kutoka ukweni. Hapo ujue mama mkwe atakua anajua unapiga vingapi, atamtafutia binti yake michepuko, atampeleka mkeo kwa waganga uisahau familia yako. Wageni watakua wanatoka upande wa ke tu, wa upande wako wakija watafanyiwa vitimbwi mpaka watie akili.
 
Mi ninachokiona mwanamke awe amelelewa na baba na mama au awe yatima asiwe nao kabisa hawa kizazi cha single mother kimezalisha kundi kubwa sana la Malaya na wasiofaa kuwa wake maana mama anadanga mtoto anadanga tena mama anamtafutia mabwana mwanae kabisa mwanae na ameshamwambia wanaume wote ni mbwa tu mwanaume akikunyanyasa ondoka kawe hata muhudumu wa baa.
 
Mi ninachokiona mwanamke awe amelelewa na baba na mama au awe yatima asiwe nao kabisa hawa kizazi cha single mother kimezalisha kundi kubwa sana la Malaya na wasiofaa kuwa wake maana mama anadanga mtoto anadanga tena mama anamtafutia mabwana mwanae kabisa mwanae na ameshamwambia wanaume wote ni mbwa tu mwanaume akikunyanyasa ondoka kawe hata muhudumu wa baa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka mpaka basiiiii
 
Back
Top Bottom