machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Umejuaje tuanzie hapa kwanza! Nilisha Anza his jf Kuna ma mtoromtori wanasuka nyuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina wana penda sana vyakula vya wanga na seafood.Hayo mahindi marekani wanalima sana na wanalishia mifugo, bado wana akili mara 1000 ya sisi na wao ndio wameendelea sana.
Kula ugali watoto wadumae ,ngozi zinakosa nuru zinakuwa kama kenge. Ushamba wenu wakufirikia kwamba ugali ndio chakula bora bakini nao huko bara kaangalie wachina wanakula nini?
Hapana wachina hawapo strong, Jamii strong Duniani ni Mwaafrika, Wazungu na wachina wanatumia sana Madawa.Na kuongezea wachina wako strong hatari
Malalamiko ni mengi toka kwa wanawake kuwa mtu akiingia anapampu sekunde 5 amemaliza: Wanaume msisubiri mpaka tume iundwe.Inashangaza sana siku hizi kuona wanaume wengi (sio wote) wanakula sana chips mayai. Hii inapelekea wanakuwa wavivu, uwezo wao wa kufikiri unakuwa mdogo, hawajitumi, tena kitandani ndio performance zero kabisa. Mwanaume inabidi ule ugali wa dona na sio chips mayai, jamani.
Na umekuja na conclusion hii baada ya kufanya research yako kwa muda gani vile?Inashangaza sana siku hizi kuona wanaume wengi (sio wote) wanakula sana chips mayai. Hii inapelekea wanakuwa wavivu, uwezo wao wa kufikiri unakuwa mdogo, hawajitumi, tena kitandani ndio performance zero kabisa. Mwanaume inabidi ule ugali wa dona na sio chips mayai, jamani.
Je utafiti huu umehusisha idadi gani ya wanaume, kama "sampuli". Na umechukua muda gani kufikia hitimisho la utafiti?hawajitumi, tena kitandani ndio performance zero kabisa.
Strong and Fearless unajua kula chipsi sio kuwa na nguvu za kiume ni kwamba mtu tu hana nguvu za kiume basi mbona kuna jamaa anakula na anaishi na anapiga game fresh tu katika maisha kila mtu nitofauti
Ndio ukweli mwenyeweEeh kumbee
[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2713388
Sawa mtaalam wa mizagamuano
Wana makasiliko ya power failure,ndio maana wanakuja na majibu rahisi " utafiti mwitu"Malalamiko ni mengi toka kwa wanawake kuwa mtu akiingia anapampu sekunde 5 amemaliza: Wanaume msisubiri mpaka tume iundwe.