Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
As salaam alayqum na pia tumsifu Yesu Kristu.
Nafahamu jambo hili limeshaongelewa sana humu lakini nimeona si mbaya nikikumbushia tu na hasa ukizangatia mwaka bado ni mbichi kabisa.
Na pia vilevile mada hii hailengi kuwafanya wanawake wawe magold digger, isipokuwa najaribu kuelezea uhalisia.
Ni jumatatu ya kwanza ya mwaka, Jumatatu ambayo naamini kwa walio wengi ndiyo wanaanza majukumu rasmi ya mwaka mzima.
Jumatatu hii ya leo kwa namna moja ama nyingine inaweza ikatoa taswira ya Jumatatu zingine zote zilizobaki za mwaka huu. Hivyo basi, ni matumaini yangu makubwa kwamba Jumatatu hii umeanza vizuri popote ulipo.
Ni ukweli ulio wazi kwamba nyakati tulizopo pesa imekuwa ndio catalyst katika kuanzisha/kujenga mahusiano ya kimapenzi baina ya ME na KE.
Na hili limepelekea kuwepo kwa malalamiko mengi sana yakielekezwa kwa wanawake kutoka kwa wanaume.
Wanaume tumekuwa tukichukizwa na tabia ya wanawake kutanguliza pesa kama prerequisite pale tunapowahitaji kimahusiano/romantic intimacy.
Na malalamiko haya yamekuwepo tangu enzi za mwalimu mpaka leo hii lakini nothing has changed, wanawake bado ni wale wale hawajabadilika wala nini na uhitajikaji wao kwetu bado uko pale pale, kwani hawana mbadala (their demand is devoid of substitutability).
Sasa nini kifanyike? Kwanza kabisa itabidi wanaume wote tukubaliane na ukweli kuwa kiasilia wanawake ni watu wa kupewe/kupokea na wala siyo vinginevyo. Yaani hata kama anacho, yeye atahitaji kupewa tu na mtu wa kumpa ni mwanaume, na hili liko authenticated hata kwa utofauti wetu wa kimaumbile, maumbile ya mwanamke yamekaa kupokea kile ambacho wewe mwanaume unakitoa.
Baada ya kukubaliana na hili tuendelee...
Naamini hakuna mtu ambaye anapenda kukosa hela, sote hela tunahiitaji na tunaitafuta. Kukosa pesa kwa kijana mwenye nguvu na utimamu wa akili na mwenye nia ya dhati kunatokana na mazingira mabovu na sera mbovu za kiuchumi tulizonazo, lakini kamwe hii haiwezi kuwa sababu kwa wale viumbe (KE).
Kama hauna hela yeye anaamini wewe ni mvivu tu, kwani walio nazo wamezipataje? Na kwanini wewe ukose? Hivi ndivyo jinsi wengi wao wanavyowaza, tena ukiongeza ni ile mentality ya kwamba patriarchy inatu-favor zaidi wanaume ndio kabisaaaaa wanaona mwanaume kukosa hela ni uzembe wako.
Sasa basi kumbe hakuna lolote tutakalosema litabadilisha mindset za viumbe hawa, zaidi ya sisi kuamua tu kwenda na mkondo wa maji.
Kikubwa cha kufanya ni kuongeza tu juhudi na maarifa katika kutafuta ngawira despite of harshly unfavourable economic environment we have, simaanishi sasa tuanze kuiba au tuuze madawa ya kulevya, hapana. Just do any decent job kwa waledi wa hali ya juu.
Ukisha ji-upgrade financially, ukawa ni mtu unaeleweka na hauna ule ule muonekano wa njaa njaa, hakika hautakaa tena uwalaumulaumu wanawake kwa vizinga, sababu kwanza utajikuta automatically una options kibao.
Asilimia kubwa ya wanaume tunaotoa haya malalamiko ni wale wenye vipato duni au hatuna kabisa vipato. Siyo rahisi kumkuta mwanaume mwenye income ya kueleweka eti anafungua uzi wa baada ya kuombwa sh.10,000 na mdada, nasema siyo rahisi hata kidogo.
Wanawake wanataka mwanaume ambaye atawasahaulisha shida na kuwafanya wafurahi muda wote na hiyo ndiyo definition yao ya ideal man.
Ukiweza kufanya hivyo hakika utawa-enjoy utakavyo na hauitaji kuwa na pesa za Mo Dewji ili kuweza kuwa hivyo.
Wanawake wanapenda maisha matamu haijalishi wewe unayewapa hayo maisha umezipataje, unaonekanaje, una umri gani na historia yako ikoje.
Huyu jamaa ni mzimbabwe anayeishi South Africa, jina lake anaitwa Roland Mchwengwa au waweza kumuita uncle Rola, kwa kumuangalia tu kwenye hizi picha ni mtu mzima sana kiumri hakosi miaka 50, lakini ni bonge la Playboy na anakula totozi kali sana, hakuna slayqueen wa pande hizo asiyemjua huyu jamaa.
Hii inaonesha kwamba ukiwa na ngawira hauitaji kuwa handsome na wala siyo lazima uwe kijana hili kufaidi haya maua yaipambayo hii dunia.
Tuwajibike na tudumishe heshima, malalamiko hayasaidii.
Nafahamu jambo hili limeshaongelewa sana humu lakini nimeona si mbaya nikikumbushia tu na hasa ukizangatia mwaka bado ni mbichi kabisa.
Na pia vilevile mada hii hailengi kuwafanya wanawake wawe magold digger, isipokuwa najaribu kuelezea uhalisia.
Ni jumatatu ya kwanza ya mwaka, Jumatatu ambayo naamini kwa walio wengi ndiyo wanaanza majukumu rasmi ya mwaka mzima.
Jumatatu hii ya leo kwa namna moja ama nyingine inaweza ikatoa taswira ya Jumatatu zingine zote zilizobaki za mwaka huu. Hivyo basi, ni matumaini yangu makubwa kwamba Jumatatu hii umeanza vizuri popote ulipo.
Ni ukweli ulio wazi kwamba nyakati tulizopo pesa imekuwa ndio catalyst katika kuanzisha/kujenga mahusiano ya kimapenzi baina ya ME na KE.
Na hili limepelekea kuwepo kwa malalamiko mengi sana yakielekezwa kwa wanawake kutoka kwa wanaume.
Wanaume tumekuwa tukichukizwa na tabia ya wanawake kutanguliza pesa kama prerequisite pale tunapowahitaji kimahusiano/romantic intimacy.
Na malalamiko haya yamekuwepo tangu enzi za mwalimu mpaka leo hii lakini nothing has changed, wanawake bado ni wale wale hawajabadilika wala nini na uhitajikaji wao kwetu bado uko pale pale, kwani hawana mbadala (their demand is devoid of substitutability).
Sasa nini kifanyike? Kwanza kabisa itabidi wanaume wote tukubaliane na ukweli kuwa kiasilia wanawake ni watu wa kupewe/kupokea na wala siyo vinginevyo. Yaani hata kama anacho, yeye atahitaji kupewa tu na mtu wa kumpa ni mwanaume, na hili liko authenticated hata kwa utofauti wetu wa kimaumbile, maumbile ya mwanamke yamekaa kupokea kile ambacho wewe mwanaume unakitoa.
Baada ya kukubaliana na hili tuendelee...
Naamini hakuna mtu ambaye anapenda kukosa hela, sote hela tunahiitaji na tunaitafuta. Kukosa pesa kwa kijana mwenye nguvu na utimamu wa akili na mwenye nia ya dhati kunatokana na mazingira mabovu na sera mbovu za kiuchumi tulizonazo, lakini kamwe hii haiwezi kuwa sababu kwa wale viumbe (KE).
Kama hauna hela yeye anaamini wewe ni mvivu tu, kwani walio nazo wamezipataje? Na kwanini wewe ukose? Hivi ndivyo jinsi wengi wao wanavyowaza, tena ukiongeza ni ile mentality ya kwamba patriarchy inatu-favor zaidi wanaume ndio kabisaaaaa wanaona mwanaume kukosa hela ni uzembe wako.
Sasa basi kumbe hakuna lolote tutakalosema litabadilisha mindset za viumbe hawa, zaidi ya sisi kuamua tu kwenda na mkondo wa maji.
Kikubwa cha kufanya ni kuongeza tu juhudi na maarifa katika kutafuta ngawira despite of harshly unfavourable economic environment we have, simaanishi sasa tuanze kuiba au tuuze madawa ya kulevya, hapana. Just do any decent job kwa waledi wa hali ya juu.
Ukisha ji-upgrade financially, ukawa ni mtu unaeleweka na hauna ule ule muonekano wa njaa njaa, hakika hautakaa tena uwalaumulaumu wanawake kwa vizinga, sababu kwanza utajikuta automatically una options kibao.
Asilimia kubwa ya wanaume tunaotoa haya malalamiko ni wale wenye vipato duni au hatuna kabisa vipato. Siyo rahisi kumkuta mwanaume mwenye income ya kueleweka eti anafungua uzi wa baada ya kuombwa sh.10,000 na mdada, nasema siyo rahisi hata kidogo.
Wanawake wanataka mwanaume ambaye atawasahaulisha shida na kuwafanya wafurahi muda wote na hiyo ndiyo definition yao ya ideal man.
Ukiweza kufanya hivyo hakika utawa-enjoy utakavyo na hauitaji kuwa na pesa za Mo Dewji ili kuweza kuwa hivyo.
Wanawake wanapenda maisha matamu haijalishi wewe unayewapa hayo maisha umezipataje, unaonekanaje, una umri gani na historia yako ikoje.
Huyu jamaa ni mzimbabwe anayeishi South Africa, jina lake anaitwa Roland Mchwengwa au waweza kumuita uncle Rola, kwa kumuangalia tu kwenye hizi picha ni mtu mzima sana kiumri hakosi miaka 50, lakini ni bonge la Playboy na anakula totozi kali sana, hakuna slayqueen wa pande hizo asiyemjua huyu jamaa.
Hii inaonesha kwamba ukiwa na ngawira hauitaji kuwa handsome na wala siyo lazima uwe kijana hili kufaidi haya maua yaipambayo hii dunia.
Tuwajibike na tudumishe heshima, malalamiko hayasaidii.