Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Mwanaume hasubiri aombwe maana anajua ni jukumu lake kutoa.Aliowaambia hatutafuti pesa nani? Pesa inatafutwa ila ombaomba wapambane na hali zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume hasubiri aombwe maana anajua ni jukumu lake kutoa.Aliowaambia hatutafuti pesa nani? Pesa inatafutwa ila ombaomba wapambane na hali zao
Kwakweli wafanye hima.
Muwe na hurumaSijasoma yote ila naunga mkono hoja, tafuteni pesa jamani maana tunazihitaji sana.
Na wote tuseme Amen!
Ombaomba=anaomba mpaka uombe, you don't deserve.Mwanaume hasubiri aombwe maana anajua ni jukumu lake kutoa.
Ukiona hupewi hadi uombe,you don't deserve. Btw kwanini upewe? Huna uwezo wa kutafuta zako?Nature yetu Ni kupewa na sio kuomba.
Mwanaume mwenye akili atajiongeza,pale anapotakiwa kutoa atatoa...msisubirie tuombe, mwanaume anayesubiri kuombwa hela atasubiri sana.
Wewe unatafuta ila Kuna wanaume Ni hasara,hawahangaiki na chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mliwekeza vileIteni majina yoooooote ila mwisho wa siku msisahau hizo pesa tunazihitaji, hivyo msijisahaulishe hilo.
Muwe na huruma
View attachment 1314081
Hunger ya nini mkwe?Wacha tu..nimeandika with tremendous pain n hunger.
Inauma sana
Usisubiri kuombwa bwana we toa tu na utabarikiwa na Bwana. Usisubiri hadi umuite ombaomba(kwanza ni kumkosea adabu)Ombaomba=anaomba mpaka uombe, you don't deserve.
Mnawekeza kwa niaba yetu jamani, msilalamike ndio nature hiyo[emoji12]Kama mliwekeza vile
Sasa kama hadeserve kwasababu gani uko nae? Huoni unaidhulumu nafsi? Tutafute zetu zipi wakati hizo ndio zetu!!!!!!Ukiona hupewi hadi uombe,you don't deserve. Btw kwanini upewe? Huna uwezo wa kutafuta zako?
Siwezi kuomba,,,zaidi mtu akijisikia atanipa.Ukiona hupewi hadi uombe,you don't deserve. Btw kwanini upewe? Huna uwezo wa kutafuta zako?
Sidhani kama mada inahusu walio kwenye ndoaSiwezi kuomba,,,zaidi mtu akijisikia atanipa.
Uwezo wa kutafuta ninao Sana na sijawahi tegemea pesa ya mtu..napewa kwa sababu mtu ameamua kunipa ,pia kwenye maisha Kuna wakati changamoto zinaibuka zisizoeleweka..hizo zipo pande zote na katika case hizo mwanamke anaweza toa kumsaidia mwanaume...
Lakini katika mahusiano ya ndoa jukumu la kuprovide Ni la mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafsi ya nani inadhulumiwa?Sasa kama hadeserve kwasababu gani uko nae? Huoni unaidhulumu nafsi? Tutafute zetu zipi wakati hizo ndio zetu!!!!!!
Yako wewe unaekuwa na mtu asodeserve na yake pia.Nafsi ya nani inadhulumiwa?
Sina # tatizoTuma bwana.
Inahusu wote..Sidhani kama mada inahusu walio kwenye ndoa