Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Wanaume tafuteni pesa...
Msitake huruma huruma,kutoa Ni nature yenu,mwanamke kupokea ni nature yake.

Karma upite na huku MMU kumenoga

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nature gani ??... hiyo ni jamii imewaweka muwe hivyo mlivyo

Angalia ukiwa pemba hata sokoni huendi ,unakaa ndani kama kochi ila ukienda bara wanawake wanalima kama matrekta. Usiaminishwe na ukaamini wanawake fighters wanavutia bhhana
 
Toa mwaya kile kidogo cha upendo..

Usimzoeshe kumpa hela..au kumpa kila baada ya muda..lets say week mbili.

Hii routine siku huna pesa ita create tension between you..

Usitoe kiasi kikubwa sana mpaka mifuko yako itoboke...ukifanya hivyo utaanza kujichukia ama ku feel guilty ukipata ishu nyingine inayohitaji pesa.

Toa pesa ndani ya uwezo wako.

Halafu sio mara zote utoe cash.

Unaweza kumnunulia hereni, perfume au kumtoa dinner.

Wanaume wengi hawajui.

Wanawake sisi tunapenda kuoneshwa tunajaliwa constantly, kama wao wanavyopenda sex constantly.

Ukicheza na emotions zetu utafurahia pendo..LOL

Chunguza ambao hawajoa au ma senior bachelor wengi utagundua ni MABAHILI..LOL

Ukiwa mtu wa kujitoa, huwezi kukosa mke...lol
 
Naamini sio wote wako hivyo.
Usikate tamaa utapata wakufanana naye.
Wengine ugonjwa wetu sio pesa....ukiwa na sense of humor tu nakuelewa[emoji6][emoji6][emoji6]
Uongo mbaya sense of humour wont pay bills.. wanaume ni lazma tutafute ili kuwa figures katika familia lakini simaanishi mwanamke akae kama pambo la nyumba.she must work maana kesho hatuijui
 
Kila mtu na mtazamo wake.
Binafsi sense of humor kwanza mengine yanatafutwa.
Uongo mbaya sense of humour wont pay bills.. wanaume ni lazma tutafute ili kuwa figures katika familia lakini simaanishi mwanamke akae kama pambo la nyumba.she must work maana kesho hatuijui
 
Toa mwaya kile kidogo cha upendo..

usimzoeshe kumpa hela..au kumpa kila baada ya muda..lets say week mbili,

hii routine siku huna pesa ita create tension between you..

.usitoe kiasi kikubwa sana mpaka mifuko yako itoboke...ukifanya hivyo utaanza kujichukia ama ku feel guilty ukipata ishu nyingine inayohitaji pesa,...

toa pesa ndani ya uwezo wako...

halafu sio mara zote utoe cash,,,

Unaweza kumnunulia hereni,perfume au kumtoa dinner...

Wanaume wengi hawajui,

wanawake sisi tunapenda kuonyeshwa tunajaliwa constantly,kama wao wanavyopenda sex constantly...

ukicheza na emotions zetu utafurahia pendo..LOL....

Chunguza ambao hawajoa au ma senior bachelor wengi utagundua ni MABAHILI..LOL

Ukiwa mtu wa kujitoa,huwezi kukosa mke...lol
Huku kupeana, kukiwa kunafanyika Both ways inapendeza zaidi.
Wanaume wanapenda sana pale wanaposifiwa kitu halafu wakajibu ( mke/girl wangu ndio kaninunulia)

Tupende kupeana hata kwa kutumia pesa tulizopewa (kutoka kwa mwanamme) kumnunulia kizawadi. [emoji846][emoji846][emoji846]
 
Huku kupeana, kukiwa kunafanyika Both ways inapendeza zaidi.
Wanaume wanapenda sana pale wanaposifiwa kitu halafu wakajibu ( mke/girl wangu ndio kaninunulia)

Tupende kupeana hata kwa kutumia pesa tulizopewa (kutoka kwa mwanamme) kumnunulia kizawadi. [emoji846][emoji846][emoji846]
Hii ni mada ya siku nyingine, jikite kwenye mada tafadhali.
 
Mkuu swala siyo uwezo bali ni mgawanyo wa majukumu tu,, kwani hata mkeo anapofanya kazi za ndani wewe unakuwa hauwezi na kama unaweza kwanini umuachie yeye tu??

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao ndio wanataka haki sawa siku hizi halafu tukiwaambia wakaoshe vyombo wanaona wanadharaulika[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Huku kupeana, kukiwa kunafanyika Both ways inapendeza zaidi.
Wanaume wanapenda sana pale wanaposifiwa kitu halafu wakajibu ( mke/girl wangu ndio kaninunulia)

Tupende kupeana hata kwa kutumia pesa tulizopewa (kutoka kwa mwanamme) kumnunulia kizawadi. [emoji846][emoji846][emoji846]

Haiwezekani kufanyika both ways,

Wanaume wanapenda sex

Wanawake wanapenda kuonyeshwa kujaliwa..

kuna exceptions for some though...
 
Back
Top Bottom