SoC02 Wanaume simameni kwenye nafasi zenu kuokoa hiki kizazi toka kwenye laana ya UZINZI, ULAWITI, USAGAJI na UFIRAJI; mambo yanayoendelea mtaani yanatisha

SoC02 Wanaume simameni kwenye nafasi zenu kuokoa hiki kizazi toka kwenye laana ya UZINZI, ULAWITI, USAGAJI na UFIRAJI; mambo yanayoendelea mtaani yanatisha

Stories of Change - 2022 Competition

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Habari ya asubuhi wanajamii

Nimekua nafuatilia baadhi ya mambo yanayofanyika katika jamii ya Tanzania leo kwakweli yanasikitisha na kukatisha tamaa. Wakati tunaendelea kulia kuhusu ugumu wa kudumu kwenye mahusiano kwa wanandoa au wapenzi tusisahau kuangaliza chanzo cha ugumu huo.

Leo Tanzania kitendo cha ulawiti, usagaji, ufiraji vimekua vitu vya kawaida sanaaaa. Unaweza kuwa unashangaa watu wanawezaje kumbe na wao wanakushangaa wewe usiyefanya ni wa Karna gani. Yaani vinavyofanyika mtaani leo hii sodoma na gomora inasubiri. Mungu aliapa hatashusha tena gharika ila ipo hatari vizazi vyetu kufutiliwa mbali na kusahaulika kabisaaa.

Wanaume baba zetu, kaka zetu na watoto wetu na pepo la ulawiti kwa watoto.
Kumekua na wimbi kubwa sana la vijana na watoto wanaofanya mapenzi katika umri mdogo sana. Na kuachilia mbali mapenzi kufanyika katika umri mdogo kumekua na vijana wengi na watoto wanaolawitiwa, na kufirwa na kusagwa katika umri mdogo kabisa.

Wanaume baba zetu, kaka zetu na watoto wetu na tamaa ya kuwafanya wanawake kinyume cha maumbile.
Wanawake pia wamejikuta kwenye dhahama ya kuingizwa kwenye mapenzi ya kinyume cha maumbile bila ridhaa yao ila kwa hofu ya kuwapoteza wapenzi wao ambao ni wanaume. Wanaume hawa ndio wanaowashawishi kwa kigezo kwamba watatulia njia kuu na kuachana na michepuko.

Wanaume baba zetu, kaka zetu na watoto wetu na tamaa ya kuwafanya wanaume wenzenu mashoga, imefikia hatua hata hamtamani wanawake tena. Tena kwenye hili wapo wanaofanya na kufanywa. Hatarii
Wapo wanaume wamevuka mipaka hawajaishia tuu kuwatumia wake zao kinyume cha maumbile; wanatumia hadi wanaume wenzao na wakati mwingine hata wao wenyewe wanatumika. Yaani unamkuta mtu ni mume na baba mwenye watoto, na ni bingwa wa kufanya vitendo vya ufiraji na yeye na yeye mwenyewe ni mpenzi wa kufanyika. Ni ngumu sana kumeza hii

Nimetanguliza ombi kwa wanaume sababu naijua nafasi ya baba mbele za mwenyezi Mungu na mbele ya jamii zetu. Mwanaume akiamua kusimama kwenye haya mambo kwa kuacha kuyafanya, kuweka makatazo na kuyafuatilia; basi wanawake na watoto tutanusurika.

Naijua na kuiamini nguvu na uwezo wa mwanaume aliopewa na Mungu na uwezo wake wa asili. Najua kwa kila mwanamke, kijana na mtoto kuna mwanaume anayeweza kumuongoza kuishi katika njia njia sahihi, kama sio baba basi ni mume, kama sio kaka basi ni mjomba au babubaby au shekhe, padre, mchungaji. Na naaminiamini wanaume wakiamua kubadilika na kuachana na uzinzi, ulawiti, ufiraji na kuamua kushika bendera ya maadili kwenye familia na jambii; basi hata wasagaji watapungua.

Nimepata kumsikia dada mmoja aliyeachana na mume wake akiongea kwa hasira na uchungu akisema "..... yaani wanaume walivyo wasumbufu heri kuwa na partner wako wa kusagana nae tuu" huyu anayeongea haya ni mama mwenye watoto wa kike na wa kiume. Hivi akishaingia huko anakoamini kuna uheri anaweza kweli kukemea watoto kuhusu hizi mambo?

Kuna jirani yangu mumewe kanogewa kwa mchepuko, sijui anachopata huko ila anaamini huku nyumbani kuna usalama sababu mkewe hatoki! Laiti angejua Ile kazi mkewe na housegirl wanaifanya angejutaaaa. Yaani wanasagana kama wehu mchana na usiku

Wanasema ipo tiba ya kuwaondoa wahanga wa ufiraji, ushoga na usagaji kwenye huo uraibu lakini kabla hatujafika huko hebu wanaume tukae chini tuulizane. Hivi utajiskiaje kama yule mtoto wako wa kiume uliyemzaa, ukamtunza na kumsomesha vizuri kushuhudia anavyoinamishwa na wanaume wenzie tena hata wa umri wako?

Utajiskiaje Yule binti yako unayempenda na kumpa malezi mema kabisa hata kumuozesha anarudi nyumbani na kukuambia baba Yule mume uliyeniozesha anataka kunifanya kinyume cha maumbile?

Au arudi na kukuambia amegundua kwamba yule mwanaume uliyemuozesha ni rijali sawa lakini na yeye pia anafanywa na wanaume wenzie?

Haya mambo ukikutana nayo ni magumu, kama mzazi unaweza kujikuta unaumia tuu kwaajili ya uzao wako. Sababu unaweza kupambana kumlea mtoto vizuri lakini huko duniani ndio kumeshachafuka. Hata ukishinda kwa kuhakikisha mtoto wako hadi shoga au msagaji basi anaweza kuishindwa ndoa maana atakayekutana nae anaweza akawa na uraibu wa hatari.

Cc Jasmoni Tegga BigTall Carlos The Jackal Extrovert Maghayo Mamndenyi Patra31
Mungu atunusuru sisi na vizazi vyetu.

1 WAKORINTO 6:9-11​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; WAASHERATI hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala WAZINZI, wala WAFIRAJI, wala WALAWITI, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala WATUKANAJI, wala wanyang’anyi.
 
Upvote 20
Nimekupigia ya kwanza na nimeusoma uzi wote. Umeeleza mambo muhimu na nyeti kwa usalama wa kizazi cha kesho zaidi. Japo umetutaja wanaume kwa saana ila nijukumu la kila jinsia kukemea hili. Wewe mama una wajibu kuwalea wanao na kuwafunda bila kuwaficha ili wayatambue hayo yote na namna gani wata yaepuka.


Na kuna kundi umeliacha kulisemea. Silingine nilile lakina BAKARI NONDO (mwamnyeto)
 
Nimekupigia ya kwanza na nimeusoma uzi wote. Umeeleza mambo muhimu na nyeti kwa usalama wa kizazi cha kesho zaidi. Japo umetutaja wanaume kwa saana ila nijukumu la kila jinsia kukemea hili. Wewe mama una wajibu kuwalea wanao na kuwafunda bila kuwaficha ili wayatambue hayo yote na namna gani wata yaepuka.


Na kuna kundi umeliacha kulisemea. Silingine nilile lakina BAKARI NONDO (mwamnyeto)

Asante Mbaga III

Hilo kundi nililoliacha sijalisahau, nimeliacha nikiijua nafasi ya mwanaume kwenye familia
Kwa wanaoamini maandiko hilo kundi ndio lile alilokua mke wa Adam Eva/Hawa, ndio lile kundi alikuwapo Rebecca mke Isaka na mama wa Esau na Yakobo, Hilo kundi ndio alilokuwepo mke Lutu, Hilo kundi ndio alimotokea delilla, Hilo kundi ndio alitokea Esta, Abigaeli, Sarah na Mimi natokea humo pia😅😅😅😅

Hili kundi ndio kundi la waombolezaji na wanamaombi lakini Mungu bado alijua akalipa nafasi ya usaidizi na lile lingine likapewa nafasi ya kuonyesha njia
 
Asante Mbaga III

Hilo kundi nililoliacha sijalisahau, nimeliacha nikiijua nafasi ya mwanaume kwenye familia
Kwa wanaoamini maandiko hilo kundi ndio lile alilokua mke wa Adam Eva/Hawa, ndio lile kundi alikuwapo Rebecca mke Isaka na mama wa Esau na Yakobo, Hilo kundi ndio alilokuwepo mke Lutu, Hilo kundi ndio alimotokea delilla, Hilo kundi ndio alitokea Esta, Abigaeli, Sarah na Mimi natokea humo pia😅😅😅😅

Hili kundi ndio kundi la waombolezaji na wanamaombi lakini Mungu bado alijua akalipa nafasi ya usaidizi na lile lingine likapewa nafasi ya kuonyesha njia
Pamoja sana sema edit na upangilie vzr ili dhamira yako ionekane kwa usahihi. Na karibu kwangu kule unipe baraka
 
Nimekupigia ya kwanza na nimeusoma uzi wote. Umeeleza mambo muhimu na nyeti kwa usalama wa kizazi cha kesho zaidi. Japo umetutaja wanaume kwa saana ila nijukumu la kila jinsia kukemea hili. Wewe mama una wajibu kuwalea wanao na kuwafunda bila kuwaficha ili wayatambue hayo yote na namna gani wata yaepuka.


Na kuna kundi umeliacha kulisemea. Silingine nilile lakina BAKARI NONDO (mwamnyeto)
Kusema ukweli sijawai kukuona ukipiga kura kwenye machapisho humu nadhani hii ndiyo kura yako ya kwanza hongera sana kwa hilo huwe unapiga kura.

Mimi nikazie hapo kwenye malezi ya mwanzo kabisa ndiyo kuna tatizo linapo anzia siyo lawama kwa wanaume au wanawake wote wanapitia kwenye hatua ya utoto hapa ndipo kuna tatizo.


Kuna baadhi ya malezi yana sikitisha sana mfano mtoto kuangalia video za ushoga hata sahivi kuna katuni za watoto zina hamasisha ushoga kwahiyo ni jukumu la kila mzazi kushiriki kwenye nafasi yake kwenye malezi yatakayo muaanda mtoto vizuri.


Hili siyo suala la ukubwani kwamba tuwape lawama wanaume ni suala ambalo lina chimbuko lake kuanzia kidogo kidogo mpaka watu kuaribika.


Wanasaynsi tunalichukulia hili suala kama kuharibikiwa kwa kisaikolojia ya mtu katika kipindi cha nyuma alicho pitia wakati wa ukuwaji wak. Tuna amani kila kitu kilianzia kwenye udongo hadi kuwa tatizo kubwa.


Unashauriwa kumlea mwanao kwenye malezi sahihi yani kimwili, kiakili na kiroho utakapo kosea kimoja wapo basi utakacho kupanda ndicho utakacho kuja kuvuna. Mtu uwezi kupanda mkorosho ukaja kuvuna mpapai hapana ila ukipanda mkorosho lazima huvune mkorosho ulio komaa kweli kweli kwahiyo tuzingatie wote kwenye malezi ya watoto.


Lakini wewe jamaa mbaga lll jitahidi huwe unapiga kura itasaidia sana kwenye suala la kimaendeleo.
 
Kusema ukweli sijawai kukuona ukipiga kura kwenye machapisho humu nadhani hii ndiyo kura yako ya kwanza hongera sana kwa hilo huwe unapiga kura.

Mimi nikazie hapo kwenye malezi ya mwanzo kabisa ndiyo kuna tatizo linapo anzia siyo lawama kwa wanaume au wanawake wote wanapitia kwenye hatua ya utoto hapa ndipo kuna tatizo.


Kuna baadhi ya malezi yana sikitisha sana mfano mtoto kuangalia video za ushoga hata sahivi kuna katuni za watoto zina hamasisha ushoga kwahiyo ni jukumu la kila mzazi kushiriki kwenye nafasi yake kwenye malezi yatakayo muaanda mtoto vizuri.


Hili siyo suala la ukubwani kwamba tuwape lawama wanaume ni suala ambalo lina chimbuko lake kuanzia kidogo kidogo mpaka watu kuaribika.


Wanasaynsi tunalichukulia hili suala kama kuharibikiwa kwa kisaikolojia ya mtu katika kipindi cha nyuma alicho pitia wakati wa ukuwaji wak. Tuna amani kila kitu kilianzia kwenye udongo hadi kuwa tatizo kubwa.


Unashauriwa kumlea mwanao kwenye malezi sahihi yani kimwili, kiakili na kiroho utakapo kosea kimoja wapo basi utakacho kupanda ndicho utakacho kuja kuvuna. Mtu uwezi kupanda mkorosho ukaja kuvuna mpapai hapana ila ukipanda mkorosho lazima huvune mkorosho ulio komaa kweli kweli kwahiyo tuzingatie wote kwenye malezi ya watoto.


Lakini wewe jamaa mbaga lll jitahidi huwe unapiga kura itasaidia sana kwenye suala la kimaendeleo.
Mkuu kura napiga sana sema zingine kimya kimya na mpaka nisome chapisho la mwenzangu ndio nipige kura na now day nipo busy kiasi hata kura siombi kwenye PM za watu. Yapo maandiko kama 4 hivi nishapigia kura tayari. Na uliyosema hapo juu ni kweli hata chanel za kuangalia wanao zichunguze kwanza. Kuna tamthilia au movies zinaleta maadili yanayo hamasisha ushoga na usagaji au tabia zingine zozote ambazo ni kinyume na maadili yetu. Mleta uzi tumkumbushie kuwa mama anayo nafasi kubwa saana ya kumjua mtoto mwenendo wake zaidi ya baba kwa maana mara nyingi mama anakua karibu na watoto zaidi. Hivyo ni jukumu la wote hususani mama awepo karibu na watoto na awajue tabia zao na kwa wote baba na mama wachunguze hata marafiki wakucheza na watoto wao kulingana na umri wao.
 
Kusema ukweli sijawai kukuona ukipiga kura kwenye machapisho humu nadhani hii ndiyo kura yako ya kwanza hongera sana kwa hilo huwe unapiga kura.

Mimi nikazie hapo kwenye malezi ya mwanzo kabisa ndiyo kuna tatizo linapo anzia siyo lawama kwa wanaume au wanawake wote wanapitia kwenye hatua ya utoto hapa ndipo kuna tatizo.


Kuna baadhi ya malezi yana sikitisha sana mfano mtoto kuangalia video za ushoga hata sahivi kuna katuni za watoto zina hamasisha ushoga kwahiyo ni jukumu la kila mzazi kushiriki kwenye nafasi yake kwenye malezi yatakayo muaanda mtoto vizuri.


Hili siyo suala la ukubwani kwamba tuwape lawama wanaume ni suala ambalo lina chimbuko lake kuanzia kidogo kidogo mpaka watu kuaribika.


Wanasaynsi tunalichukulia hili suala kama kuharibikiwa kwa kisaikolojia ya mtu katika kipindi cha nyuma alicho pitia wakati wa ukuwaji wak. Tuna amani kila kitu kilianzia kwenye udongo hadi kuwa tatizo kubwa.


Unashauriwa kumlea mwanao kwenye malezi sahihi yani kimwili, kiakili na kiroho utakapo kosea kimoja wapo basi utakacho kupanda ndicho utakacho kuja kuvuna. Mtu uwezi kupanda mkorosho ukaja kuvuna mpapai hapana ila ukipanda mkorosho lazima huvune mkorosho ulio komaa kweli kweli kwahiyo tuzingatie wote kwenye malezi ya watoto.


Lakini wewe jamaa mbaga lll jitahidi huwe unapiga kura itasaidia sana kwenye suala la kimaendeleo.
Nakaribu na kwangu utie baraka mkuu
 
Nadhani Jamii ilianza kuharibika pale ilipokosa utambulisho wa uhalisia wao.
Tulianza kwa mwingiliano wa kikawaida ambao umeleta migongano ya kitamaduni kiasi kwamba mtoto analelewa pasipo kuwa na misingi yoyote tofauti na zamani ambapo

mtoto angelelewa kwa mafunzo ya jamii au jando na unyago iliyomuwekea miiko na mipaka kutokana na nafasi yake katika jamii.

Leo mchaga kamuoa mzaramo, muha kamuoa mpare hivyo watoto wanalelewa bila common ground kama wazazi hawatokuwa na misingi thabiti


Zimekuja social media, muingiliano wa watu na kuathiriana kitamaduni hakuna mipaka kwa dunia nzima. Leo taarifa na trend zinavuma kiasi cha kuathiri ulimwengu mzima.

Hili linatokea kipindi ambacho wazazi hawajaweka misingi ya watoto ambayo ingeweza kuwasaidia kuchuja ni kipi cha kuiga na kutokuiga,


wakati huo huo mtoto sio wa jamii nzima kama zamani. Ni wa mtu binafsi, kiufupi mtoto anabakia kutegemea malezi ya mzazi ambaye hana dira wala misingi ya kumsimamia


Ni nini kitatokea


Na kwa sasa hizo tabia zinapigiwa promo hadi na wasanii wakubwa tu huku elimu yetu ni ya kufanyia mtihani tu

Je, Watoto wana mbadala wa kujifunza au kutengenezwa kuwa tofauti na mfumo uliopo HAPANA


Hizi ni rasha rasha tu, mvua kamili inakuja na kama ni kitu cha kukijadili, nadhani tunahitaji collective efforts.. Sio ya kutegemea kikundi cha watu, kila mtu aliihisi jukumu hili , hiyo ndo hatua ya kwanza
 
Hahahaa wanasagana kama blenda
Wamepagawa hata hawawezi ficha, watoto wakishaondoka kwenda shule misagano inaanza na wanarecord hadi video
Connection basi ya hiyo misagano.
Au waambie kuna mteja ana million tatu anataka aone live pambano la kisagana
 
Hahahaa wanasagana kama blenda
Wamepagawa hata hawawezi ficha, watoto wakishaondoka kwenda shule misagano inaanza na wanarecord hadi video
Connection basi ya hiyo misagano.
Au waambie kuna mteja ana million tatu anataka aone live pambano la kisagana
 
Connection basi ya hiyo misagano.
Au waambie kuna mteja ana million tatu anataka aone live pambano la kisagana

Wewe mzabzab hujatulia😅😅😅😅😅😅😅
 
Chanzo NI pornography TU HAKUNA lingine.kama serikali iko makini izuie x zote na ikemee miziki mibovu Kama vile singeli sijui kwa mpangale.
 
Back
Top Bottom