Wanaume sio ATM!!!



babu....wajukuu idadi yao imefika ngapi?
 
mnaombwa kurudi kwenye mada haraka kabla sheria mpya za JF hazijawasulubu. mstumie urafiki mkafikiri ndio siwezi kuwapiga ban. napinga ufisadi hata kwa lafiki zangu.


hahahahahaa 'mod kivuli' klumbe upo asee

Hapa tunajadili wanaume kuitwa ATM...mbaya kabisa hii
 
ATM hommie habari yako binafsi!!


asee...hommie wangu wa ukweli wacha kabisa habari yako binafc bana....


hii habari ya ATM nasikia babu anatafuta wa kumfanya ATM??
 
asee...hommie wangu wa ukweli wacha kabisa habari yako binafc bana....
hii habari ya ATM nasikia babu anatafuta wa kumfanya ATM??
hahaha babu so nimuona hapo juu anataka kuongeza idadi ya wajukuu!!
Ila hommie kutuchuna watuchune tu ila wasitupe majina bana...kuna post moja nilisoma eti demu kamsave jamaa yake kama "Vocha Dar" noma sana!
 
hahaha babu so nimuona hapo juu anataka kuongeza idadi ya wajukuu!!
Ila hommie kutuchuna watuchune tu ila wasitupe majina bana...kuna post moja nilisoma eti demu kamsave jamaa yake kama "Vocha Dar" noma sana!

Kimey ni kweli mambo ya kupeana majina sio poa kabisa
 
hahaha babu so nimuona hapo juu anataka kuongeza idadi ya wajukuu!!
Ila hommie kutuchuna watuchune tu ila wasitupe majina bana...kuna post moja nilisoma eti demu kamsave jamaa yake kama "Vocha Dar" noma sana!


niliiona hiyo mkuu 'imeniuma sana' yani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…