Umenena vema Keren sijui Hapuch.....damn majina mengine magumu sana,
Ukioa mwanamke aliyekuzidi vifuatavyo hiyo ndoa ujue ni mshike mshike:
1. Elimu
2. Kipato
3. Umri
4. Ubabe
Ombi....Keren naomba uwe mmoja wa wajukuu zangu.
Natanguliza hii hapa kwanza, kwa msisitizo.
The Following User Says Thank You to Keren_Happuch For This Useful Post:
Asprin (Today)
mnaombwa kurudi kwenye mada haraka kabla sheria mpya za JF hazijawasulubu. mstumie urafiki mkafikiri ndio siwezi kuwapiga ban. napinga ufisadi hata kwa lafiki zangu.
babu....wajukuu idadi yao imefika ngapi?
Umeniwahi nilitaka kuuliza swali hili
ATM hommie habari yako binafsi!!Habari yake DA.....Umerudi salama naaamini!
Habari yake DA.....Umerudi salama naaamini!
ATM hommie habari yako binafsi!!
ATM hommie habari yako binafsi!!
Ila tuache masihara,
Mi mwanamke asiponichuna sijisikii raha!
hahaha babu so nimuona hapo juu anataka kuongeza idadi ya wajukuu!!asee...hommie wangu wa ukweli wacha kabisa habari yako binafc bana....
hii habari ya ATM nasikia babu anatafuta wa kumfanya ATM??
asee mi bado nipo ndani ya mada!! hapa nadhani sipati banPunguza salamu utapata BAN
Usichakachue thread (Hata mie nimesalimia Kaizer naogopa)
hahaha babu so nimuona hapo juu anataka kuongeza idadi ya wajukuu!!
Ila hommie kutuchuna watuchune tu ila wasitupe majina bana...kuna post moja nilisoma eti demu kamsave jamaa yake kama "Vocha Dar" noma sana!
Salama salimini mkuu.
Mabomu umekwenda kutoa msaada lakini
hahaha babu so nimuona hapo juu anataka kuongeza idadi ya wajukuu!!
Ila hommie kutuchuna watuchune tu ila wasitupe majina bana...kuna post moja nilisoma eti demu kamsave jamaa yake kama "Vocha Dar" noma sana!
niliiona hiyo mkuu 'imeniuma sana' yani....
yeah nimeenda, nimepata chumba huko huko! LOL
afadhali nafurahi kukuona tena:clap2:
Kama umekwenda poa tunataka vijana kama wewe
Kama umekwenda poa tunataka vijana kama wewe
Ngoja nipate :coffee:Kwani Kaizer ni Kijana ? na bado yuko single DA?
Kwani Kaizer ni Kijana ? na bado yuko single DA?