Wanaume sio ATM!!!


Babu Aspirin... unajua siwezi kukataa kuwa mjukuu wako maana unajua yako maneno matamu uliyofundisshwa na babu yako...na kwenye hayo maneno matamu..haikosekani hekima kwa babu.... pata kahawa kwanza babu hapa.....:coffee:
 
Haya mamito nimekusoma...sio mi peke yangu mwenye kiu ya kujua hili hebu msome na huyu hapa chini...!!

Nimekusoma ila sitaki kulijibu hadharani nitakwambia ukipitia dukani kwangu jioni sawa???
 
Great piece of thought....Una haki ya kupata bia mbili leo(japo zimepanda bei)
 
Hahahhaa.Hili jina bomba sana,Haya na mie nisalimie...
ATM's Kaizer,kimey,Aspn ,TF..Hmjambo wote kwa ujumla??
We mamito ivi ile Account number ya Bank ya Uswiss mbona hujanitumia number?
Nimekumiss ujue?
 
We mamito ivi ile Account number ya Bank ya Uswiss mbona hujanitumia number?
Nimekumiss ujue?
Nasikia wameiblock ilikuwa inafanya transactions kutoka kwenye account ya Mubarak wa Misri l.o.l
 
Kimey siku hizi kuna ATM za kuweka na kutoa kama zile za CRDB sasa mimi ATM yangu inaweka tu haitoi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…