Wanaume sio ATM!!!

Lakini hapa sometimes kwa dada zetu ni Security na labda anataka shoga yake na yeye atoe recommendation kuhusu huyo kaka au?
...NI kukosa kujiamini tu. wasichana wengi huwa wanapenda wavulana/wanaume kutegemea na recommendations za rafiki zao hawapendi kutokana nahisia zao. Nakumbuka fiance wangu wakati tunaanza urafiki alipenda sana kunikutanisha na rafiki zake "eti rafiki zangu wananiuliza kila siku lini watakuona"??..Any way yeye anadai alishaamua kukolea ingawa najua alitaka kupata views za shoga zake!!:wink2:
 

Hapo kuna ukweli mkuu.., na Mtaka Cha Uvunguni Sharti Ainame...., kwahiyo nadhani hata kama hawa marafiki zake watakuwa ni mapepe lakini labda inabidi uinvest na kwao siku za mwanzoni.. usije kosa kipenzi chako bure ?

Sababu hawachelewi kusema "mmhhh lakini mimi naona yule wa mwanzo ndio mzuri huyu sijui yokoje.., yaani roho yangu inasita kabisa"
 

Babu Aspirin... unajua siwezi kukataa kuwa mjukuu wako maana unajua yako maneno matamu uliyofundisshwa na babu yako...na kwenye hayo maneno matamu..haikosekani hekima kwa babu.... pata kahawa kwanza babu hapa.....:coffee:

babu....wajukuu idadi yao imefika ngapi?

Hommie hapa unamaanisha nikimhusisha na huyu hapo juu?
 
Keren unakuwa na ATM yenyewe kazi yake ni ku-deposit tu wakati wa ku-withdraw kadi inagoma kabisa tena inakwambia ERROR CODE

Hiyo safi TF...., ila unaweza ukapata ushauri kwa babu Asprin hapa..maana yeye anaijua siri ya ATM ya kutoa!
 
Usiwe mwoga, nataka n'kutume ukan'nulie ugoro. Hivi yampasa mjukuu kumwogopa babuye?

Ohhh!! sawa babu....sio unajua bado mgeni, nilifikri nimekosea! basi usijaili...niko njiani naja mieee...! lakini babu..hivi kiafya ugoro ni mzuri kweli???
 
Ohhh!! sawa babu....sio unajua bado mgeni, nilifikri nimekosea! basi usijaili...niko njiani naja mieee...! lakini babu..hivi kiafya ugoro ni mzuri kweli???

Kwenu nyie wajukuu hampaswi kuutumia, kama ambavyo hampaswi kutumia mikongojo.....sisi wazee ndio zetu!:rain:
 
Kwenu nyie wajukuu hampaswi kuutumia, kama ambavyo hampaswi kutumia mikongojo.....sisi wazee ndio zetu!:rain:

Sawa babu,...ila usivute saana, unaweza ukasababisha kukohoa ukaleta taabu kwa wajukuuu sie...
 
Keren hebu naomba unitamkie hili jina la baba yako kwa sauti.......Happuch

Jamani, ni kwasabu meno yameanza kwisha nini mdomoni??!!! Inatamkwa hivi ...HAP..ook! Ila hilo sio jina la baba yangu, ni jina langu, yaani mimi naitwa Keren_Happuch! Baba yangu anaitwa JOB.
 
Sawa babu,...ila usivute saana, unaweza ukasababisha kukohoa ukaleta taabu kwa wajukuuu sie...
Babu akikohoa ni asprin kwa wajukuu....hampati maumivu hasa ya viungo.
Jamani, ni kwasabu meno yameanza kwisha nini mdomoni??!!! Inatamkwa hivi ...HAP..ook! Ila hilo sio jina la baba yangu, ni jina langu, yaani mimi naitwa Keren_Happuch! Baba yangu anaitwa JOB.

Orayt hebu nitamkie kwa kiswahili hili jina lako............Happuch
 
Babu akikohoa ni asprin kwa wajukuu....hampati maumivu hasa ya viungo.


Orayt hebu nitamkie kwa kiswahili hili jina lako............Happuch

okei babu... yaani unasema..Hapuuk....si umesikia???, hebu rudia tena..Hapuuk! nafikri somo limeeleweka! kama bado itabidi nikija..nitapitia baadaye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…