Wanaume sio ATM!!!

mi wala simind kuitwa ATM.....kwa sababu ATM za bongo muda mwingi zinakuwa hazifanyi kazi....unaenda kutoa hela unarudi na receipt bila hela.....mi ndio ATM ya namna hiyo......kwa hiyo endeleeni kuniita ATM

Hahaahhaha!!!!Kwahiyo we ni ATM mbovu sio???:twitch:
 
Lizzy labda wapo wamekaa Ki ATM zaidi ila jina kweli ni la kudhalilishana
 
Asante kwa mada LIzzy, ubarikiwe sana! wadada tunatia aibu kwa kuombaomba wanaume, utafikiri ndo jukumu lao la kututunza. Tusitongozwe basi kosa.. kiasi kwamba imefika wanaume nao sasa wamekuwa wajanja utawasikia kila siku wanatangaza sinaa hela sina hela.. ili mradi wasiombwe loo. Utakuta mwanamke kazi yake kubeep tu. Kerooo.
 
Mi huko hata naogopa kwenda!Ishu inasikitisha alafu inanipa hasira sana!
Mi leo ni Siasa tu mpaka wanielewe hao CRAPs na Mabomu yao
Mpwa wangu Sinkala amekoswa koswa mwenyewe nilitoka baluu dah bia za Vingunguti hizi dah
We acha watu wanahama na mgodoro muda huu..
Dearest uko hai lol nilisahau kumbe hauko kule yalipolipuka mwe! MZIMA LAKINI
Nipo swafi mamito ila inauma sana.....hawezi kutuua na mabomu yao wakati sie hatuandamani na tupo nyumbani tunakula kibua nafamilia....we ngoja tu!
 
Aisee Kimey,

Homeboy wako nimekoswakoswa mbona hunitafutii sababau?
 
Aisee Kimey,
Homeboy wako nimekoswakoswa mbona hunitafutii sababau?
Homu boyi pole sana ndo maana kila nikikupigia cm inasema mteja unaye mpigia anakimbia mabomu tafadhali subiri afike sehemu salama atakupigia!
Asee inauma sana, yaani mabomu yanatufuata nyumbani tukila kibua na familia? hatujaandamana mabomu, tukiandamana mabomu...
Serikali=mabomu=???
 
Aisee Kimey,

Homeboy wako nimekoswakoswa mbona hunitafutii sababau?

Pole mpwa siku hizi unanywea mwisho wa rami?

Mi limenikosa kosa kichwani isingekuwa kucheza scout tungekuwa tunaongea mengine
 

Pole mpwa siku hizi unanywea mwisho wa rami?

Mi limenikosa kosa kichwani isingekuwa kucheza scout tungekuwa tunaongea mengine

Aisee kama si nguvu ya valuu.......:coffee:
 
Mpwa naona unalia wivu hapo😛opcorn:

Angalia hapo juu amesema atakuja Tip top na wenzake 2 nimemwambia aje nao 5 sasa Kimey simwelewi mzee wa Usalule mambo ya ATM
 
Ndo shida ya mpwa wetu hiyo...sijui tumsaidiaje?
Aisee hommie jana umeniacha hoi sana we ni noma kwa taarifa kamili ya habari nitakupigia simu baadae:laugh::laugh::laugh:
 
Angalia hapo juu amesema atakuja Tip top na wenzake 2 nimemwambia aje nao 5 sasa Kimey simwelewi mzee wa Usalule mambo ya ATM
sasa homu boyi we utanakubali kuitwa ATM? tuachie sisi tuliozoea bana!! tuna majina mengi sana..Hivi umenionea Love the Nurse?
 
Angalia hapo juu amesema atakuja Tip top na wenzake 2 nimemwambia aje nao 5 sasa Kimey simwelewi mzee wa Usalule mambo ya ATM
Hao watano kila mmoja anakula mnyama kilo moja jumla inakuwa kilo tano, halafu wanakunywa castle light si unajua ambavyo hazileweshi wanaweza kunywa hata kumi na tano kila mmoja kwa jumla ni castle light 45, halafu wawili wanakaa airport teksi hadi kule elfu 20 hao wengine watatu wanakaa Tegeta teksi hadi huko elfu 30 sijui jumla hapo bili inakuja shilingi ngapi mpwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…