Wanaume sio ATM!!!

Wanaume sio ATM!!!

Lizz sijui unakoishi ww huku napoishi mimi hata wadada wanaitwa ATM hata wakaka wanaomba vocha yaani hii ni kotekote wala sio kwa wadada tu. kuna wakaka wamepinda hasa. Utakuta eti mtu anatoka na mwanaume ile wanaondoka anaulizwa " unaniachaje sasa" heeee yaani dunia imegeuka up side down.Mara card imemezwa lol hatar
 
Ni kweli ila wanaume wengine wao wenyewe ndio wanajiwekea mazingira ya kuchunwa chunwa. We mmekutana siku ya kwanza anakuelezea assets zake zote majivuno ndio usiseme.
Aaaaargg sijui wanafikiri ndio watapata wapenzi kirahisi!
Wengine huwa hatuwezi kuomba omba ila mwanaume wa hivyo akikutana na mwanamke mcharuko atachunwa hadi basi.
Ah hao wa kujitakia acha wachunwe mpaka ngozi!Alafu mtu kama huyo siku akikimbiwa baada ya kuishiwa anaanza kulalamika!
 
Lizz sijui unakoishi ww huku napoishi mimi hata wadada wanaitwa ATM hata wakaka wanaomba vocha yaani hii ni kotekote wala sio kwa wadada tu. kuna wakaka wamepinda hasa. Utakuta eti mtu anatoka na mwanaume ile wanaondoka anaulizwa " unaniachaje sasa" heeee yaani dunia imegeuka up side down.Mara card imemezwa lol hatar
Haha ningekua mwanaume ningewanyanyasa kweli wa aina hiyo!Eti unaniachaje?Si nilivyokukuta!!Mmh hao wakaka ni hawa waliobatizwa jina la sharobaro ehh?
 
Haha ningekua mwanaume ningewanyanyasa kweli wa aina hiyo!Eti unaniachaje?Si nilivyokukuta!!Mmh hao wakaka ni hawa waliobatizwa jina la sharobaro ehh?

Yaan nashindwa kabisa kuelewa yaani mtu katoka ofisini na wewe ofisini ila anakukomalia utadhani nini. eti vipi sasa unaondoka unaniachaje, yaani ni balaa. anachukua simu anaangalia balance then nihamishie basi, yaani kuna visharobaro vya kumwaga. mie nishajiuzuru stak kabisa.
 
hata wadada wanaitwa ATM hata wakaka wanaomba vocha yaani hii ni kotekote wala sio kwa wadada tu. kuna wakaka wamepinda hasa. Utakuta eti mtu anatoka na mwanaume ile wanaondoka anaulizwa " unaniachaje sasa" heeee yaani dunia imegeuka up side down.Mara card imemezwa lol hatar

gaga hiyo ni kweli kabisa.
Nina rafiki yangu wa kike amemuhudumia mpenzi wake hadi amechoka.
Yaani wakitoka outing lady ndio analipa gharama zote.
Wote vipato vyao vidogo lakini mwanaume amekuwa kama mzigo.
Siku hiyo wameenda lodge, huyo shemeji akamuuliza rafiki yangu unakula nini, rafiki yangu akamwambia mi sijisikii kula we agiza tu cha kwako. Yule mwanaume akamwambia rafiki yangu "naomba hela".
Yaani apewe hela ya msosi.
Just imagine!!
 
Yaan nashindwa kabisa kuelewa yaani mtu katoka ofisini na wewe ofisini ila anakukomalia utadhani nini. eti vipi sasa unaondoka unaniachaje, yaani ni balaa. anachukua simu anaangalia balance then nihamishie basi, yaani kuna visharobaro vya kumwaga. mie nishajiuzuru stak kabisa.

Hahahaha!Watu wana vituko jamani!Embu waondoage hii service ya kuhamisha credit!Alafu kuna wale anaazima simu yako apige au atume msg ila kitu cha kwanza anaangalia balance!Wanaboa nao!
 
gaga hiyo ni kweli kabisa.
Nina rafiki yangu wa kike amemuhudumia mpenzi wake hadi amechoka.
Yaani wakitoka outing lady ndio analipa gharama zote.
Wote vipato vyao vidogo lakini mwanaume amekuwa kama mzigo.
Siku hiyo wameenda lodge, huyo shemeji akamuuliza rafiki yangu unakula nini, rafiki yangu akamwambia mi sijisikii kula we agiza tu cha kwako. Yule mwanaume akamwambia rafiki yangu "naomba hela".
Yaani apewe hela ya msosi.
Just imagine!!

Duh!Huyo nae ni noma!
 
gaga hiyo ni kweli kabisa.
Nina rafiki yangu wa kike amemuhudumia mpenzi wake hadi amechoka.
Yaani wakitoka outing lady ndio analipa gharama zote.
Wote vipato vyao vidogo lakini mwanaume amekuwa kama mzigo.
Siku hiyo wameenda lodge, huyo shemeji akamuuliza rafiki yangu unakula nini, rafiki yangu akamwambia mi sijisikii kula we agiza tu cha kwako. Yule mwanaume akamwambia rafiki yangu "naomba hela".
Yaani apewe hela ya msosi.
Just imagine!!

Yaani we acha tu na usipompa ananuna
 
noma sana lizzy. Washabreak up. Kama kuna wanaume wenye tabia hii humu ndani waache kwakweli.
Wajue kabisa wapenzi wao hawafurahii.
Afadhali alimuacha!Huyo anaonekana alikua anamhitaji mwenzake kwa matumizi zaidi ya kimapenzi/mahusiano yao!
 
Ni kweli ila wanaume wengine wao wenyewe ndio wanajiwekea mazingira ya kuchunwa chunwa. We mmekutana siku ya kwanza anakuelezea assets zake zote majivuno ndio usiseme.
Aaaaargg sijui wanafikiri ndio watapata wapenzi kirahisi!
Wengine huwa hatuwezi kuomba omba ila mwanaume wa hivyo akikutana na mwanamke mcharuko atachunwa hadi basi.
Umeongea point LAKINI SIKUPI THANKS lol! Tumekaa baa siku moja meza ya pili kakaa jamaa na wanawake wawili stori za huyo jamaa kiboko mara 'nina milioni 500 benki','sisimami foleni meneja ananiletea nyumbani nikitaka hela','saa yangu ni Omega ya milioni kumi', Mwisho akaja na 'nina hela hadi naumwa' hahaha! ikabidi tuhame meza.

Saa zingine mnawalaumu wanawake bure sasa kama huyu si anataka kuchunwa ?
 
Umeongea point LAKINI SIKUPI THANKS lol! Tumekaa baa siku moja meza ya pili kakaa jamaa na wanawake wawili stori za huyo jamaa kiboko mara 'nina milioni 500 benki','sisimami foleni meneja ananiletea nyumbani nikitaka hela','saa yangu ni Omega ya milioni kumi', Mwisho akaja na 'nina hela hadi naumwa' hahaha! ikabidi tuhame meza.

Saa zingine mnawalaumu wanawake bure sasa kama huyu si anataka kuchunwa ?

Wewe vipi dearest mbona hunipi list ya mali na mapesa yako?
 
Wewe vipi dearest mbona hunipi list ya mali na mapesa yako?
Tangu nikufahamu mali zangu ni zako nasubiri unitumie jina kamili nibadili jina za mali kuwa zako.Nikiweka hapa wakina Michelle,Hus and co watasumbua lol!
 
Tangu nikufahamu mali zangu ni zako nasubiri unitumie jina kamili nibadili jina za mali kuwa zako.Nikiweka hapa wakina Michelle,Hus and co watasumbua lol!

Hahahaha!Na kweli!Wataanza kunidanganya hunifai kumbe wanakutamani!
 
Nipewe nini tena jamani mie...!My passport is on the way dearest!
Nimefarijika kurudisha picha hii kwenye avatar naizimia sio kipolepole,the hair,face,wide shoulders and yes the hand just love it,
 
Back
Top Bottom