Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Nataka nifanye mwenyewe!!!Nifanyiwe yote hayo ya nini wakati viungo vyote vya kufanya kazi nimepewa???:twitch:
Unamshusha mwanaume hadhi sasa yaani wewe uanze kuagiza bia alafu ununue mwenyewe na kinga kisha ulipie na room kisha unipe na pesa ya tax hilo hapana i see