MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Sasa tupe kaushauri basi tutambulisheje? Hawara, nyumbandogo, kibustani, kimeo au jina gani. Manake kama namegana naye, eventually ni shemeji yao. Period.
Kemeaneni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tupe kaushauri basi tutambulisheje? Hawara, nyumbandogo, kibustani, kimeo au jina gani. Manake kama namegana naye, eventually ni shemeji yao. Period.
Kemeaneni
Kwani kina dada wanafanyaje wakiwa kwenye magroup kulindana ili issue isijulikane? Hau huwa hakuna introduction kabisa?
Kwani kina dada wanafanyaje wakiwa kwenye magroup kulindana ili issue isijulikane? Hau huwa hakuna introduction kabisa?
Fidel80 una roho ngumu ka simba weye ...mtoto ni majaariwa tutajuaje kama weye ndo unakuwa na matatizo ya uzazi??????????????????????????????????????
..Tehhhh tehhhh tehhhhhh. Mkuu kuna vichaliii vingine hata ukiwaambia kuwa kademu kakicheche hawaelewi na wao wanataka kugusa kidogo wasikilizie!!! Lakini kiukweli I like that...Unapata mazoezi mazuri na afya inaimarika pamoja na sindano zao za mara kwa mara!!ukishamtambulisha,akinywa bavaria yake akisepa tu unawaambia wana..."HAMNA KITU PALE,KICHECHE TU KILE!..HALAFU KIMENIZIMIKIA MBAYA!kila siku nakiambia nimeoa hakielewi,kinalazimisha nimuache waifu.madem wengine bana!........''
Wats the definition of SHEMEJI?
afadhari mwaya kama mashemeji wangekuwa hawa entataini mambo hayo sidhani kama kungekuwa na ubavu wa kutambulisha msululu wa ma G/F
Tangu enzi za Musa, Mfalme Suleiman, Mfalme Daudi, Mtume Mohammad, n.k. mwanamume hakuwa na mwanamke mmoja. Tunaendeleza CULTURE yetu.
unfortunately i agree with thisNa wanawake wanaboa sana yaani unajua mtu ameoa lakini unamkubali hadi inafikia anaamua kuktambulisha kwa rafiki zake eti huyu shemeji yenu wewe bado hautaki kukanusha....hehehe perfect way to get back.
unfortunately i agree with this
Tangu nilipoamua kuanza serious relationship iliyonipelekea kwenye ndoa hadi leo hii sijawahi kuwa introduced namna hiyo coz its so obvious there is no entry. Hata before marriage sikuwahi kuchukua mume wa mtu so it was difficult kujikuta kwenye situation ya aina hii i thank God.Binamu vipi, ulishawahi kuwa introduced au? Sorry, out of mada.
Tangu nilipoamua kuanza serious relationship iliyonipelekea kwenye ndoa hadi leo hii sijawahi kuwa introduced namna hiyo coz its so obvious there is no entry. Hata before marriage sikuwahi kuchukua mume wa mtu so it was difficult kujikuta kwenye situation ya aina hii i thank God.
ni wanawake wenyewe tunaotaka haya, we unajua mtu ana mkewe bado unatoka naye kwa maana ya mahusiano deep hadi unaishia kutambulishwa hivyo, i don like it a bit.