Wanaume tabia hii ya asili inawaumiza wanawake(hit and run)

Wanaume tabia hii ya asili inawaumiza wanawake(hit and run)

Halafu wanaume tunajua ku-pretend sio mchezo, ukishapata kitumbua tu kazi imeisha, unamfikiria mwengine
 
Kwanza tambua kuwa unapomtaja mwanaume..ujue unamzungumzia mtu aliyekomaa kifikra...ujue unamzungumzia mtu ambaye anajua anatakiwa kufanya nini na kwa wakati gani...unamzungumzia mtu ambaye ni kichwa cha familia au kiongozi wa familia kwa hiyo lazima awe na maono na akili iliyokomaa ili aweze kuiongoza vyema familia yake....mwanaume mwenye fikra pevu hawezi akasimama mbele ya umati na kujigamba kwa kuwahonga wanawake wa nje hali ya kuwa anajua kuwa hatima ya ustawi wa familia yake iko mikononi mwake....mwanamume mwenye utimamu wa akili hawezi akakaa sehemu za starehe na kufuja fedha hali ya kuwa familia yake inateseka kwa kukosa mahitaji muhimu......mwanaume aliye timamu hawezi kuyumbishwa na matamanio ya kimwili kwani anajua kuwa nyumbani yupo malkia wake mwenye jukumu la kumtimizia haja zake.....matendo ya kuwafunua wadada na kuwaacha huwa yanafanywa na wanaume wanaoonekana kuwa ni wanaume hali ya akili zao na maamuzi yao vinaongozwa na matamanio...hawana tofauti na wavulana wanaohangaishwa na balehe na ugeni wa mambo.....ni matukio ambayo hayana faida kwa mwanaume zaidi ya hasara kwani huyumbisha uchumi wake.....wengi wa waliokuwa na tabia hizo nikiwa na maana ya kuwekeza rasilimali zao katika kuwafunua wadada vyupi vyao na kuwaacha wanaonekana kujutia kwani mwisho wa siku hakuna faida badala yake wanahesabu hasara.....kitu ambacho baadhi ya wanaume hawakijui ni kwamba wanawake wazuri hawaishi na kamwe hawajawahi kuisha hapa ulimwenguni kwa maana ya kuwa kila siku wanazaliwa wapya na wazuri kushinda uliowaona mwanzo....na wanavutia haswa kwa kuwa wao ni mapambo ya ulimwengu.....busara ni kuoa.....na hekima ni kutulia na mkeo....

Umeongea kitu.. Na ukishaamua kuoa ona mkeo ndio mrembo kuliko warembo wote uliowahi kuwa nao na unaoendelea kuwaona. Hapo hutaangaishwa na wanawake wa dunia hii, maana wapo na wataendelea kuwepo, utakufa utawaacha.. Sasa je utaweza kufunua warembo wote unaowaona? na ndio maana ht kwenye familia wababa hutangulia kufa haraka ni kwsbbu ya mambo hayo hayo, kupenda kutumika kucko na msingi, mtu ana mke ndan bado ana vimada nje vya kumwaga, mtu huyu ataacha kufa mapema sas!!? Ni kufika muda na kujitambua tu.!! Really men hawacheat, wala si player..
 
Ukimpa man reason ya kukuheshim atakuheshim sana, ukimpa reason ya kukuona wew ni wa kula na kusepa atalifanya hilo kwa ustadi.....Girls kuweni makini na karata zenu. Mtaepuka hizi ishu,maan mnaona kumzungusha man ndo kumtuliza kumbe wakati unamzungusha anapata mwingine ila ile unfinished project wengine huwa hawaziach hiv hivi..
 
Ukimpa man reason ya kukuheshim atakuheshim sana, ukimpa reason ya kukuona wew ni wa kula na kusepa atalifanya hilo kwa ustadi.....Girls kuweni makini na karata zenu. Mtaepuka hizi ishu,maan mnaona kumzungusha man ndo kumtuliza kumbe wakati unamzungusha anapata mwingine ila ile unfinished project wengine huwa hawaziach hiv hivi..
Mara nyingi wako decent?
 
Hao gilrs ambao wana zungusha zungusha…? Wengi wao ni wazoefu wa hii game thats why wanajua michezo na kutaka ku out think man

huwa wanakera, kuna mdada nilimtaka miezi mitatu ananizungusha na anasema hana mtu, eti sisi wanaume waongo!!
 
Ukimpa man reason ya kukuheshim atakuheshim sana, ukimpa reason ya kukuona wew ni wa kula na kusepa atalifanya hilo kwa ustadi.....Girls kuweni makini na karata zenu. Mtaepuka hizi ishu,maan mnaona kumzungusha man ndo kumtuliza kumbe wakati unamzungusha anapata mwingine ila ile unfinished project wengine huwa hawaziach hiv hivi..

Umenigusa kaka, kuna shori kanisumbua sana natongoza miezi minne bado haeleweki but nikimwambia twende out anakubali na ofa zangu anapokea, sasa hapo katikati nikapata kitu kingine, ndani ya wiki moja tu nikalamba mzigo na bado tunaendelea na mahusiano fresh tu, huyu aliyenisumbua mda mrefu nilimpotezea kabisa, sahivi ndo anaanza kunisumbua ooh sijui namchukia mara ooh nimechange, sasa Duu kama huyu unamwelewaje? Madem kama hawa ndo unahit n' run, analeta swaga za kizaman za kuzungushana
 
Kiukweli hii tabia ya wanaume sisi ku..hit then ku..run wanawake ndo hua chanzo nina ka historia na girlfriend wangu mwanzo nlipokua namuhitaji aliniona kama mzee wa hit and run akanizungusha sana lakin mwisho alinikubalia nikawa nae kwa takribani mwaka mzima hakutaka hata nimguse mkono niliendelea kua mvumilivu,aliniforce nikajitambulishe kwao niliona mapema hivo nikapiga chenga lakin alinikutanisha na mama yake bila mi kujua haikua mbaya mwanzon lakini baadae ikawa tabu mana niligeuka mlezi wa familia matatizo yote ya kiuchumi wa mama yake nilisimamia mm.Lakini mzigo kunipa hakutaka nilivumilia huku nikituma maombi kila mara nilipoweza siku alonipa nilifurahi nikala vizuuuri,kilichofuata ni kukatika kwa mood ya kubaki kwenye mahusiano maana alinitumia sana kwa mtego wa penzi tu nilikua na kinyongo upendo wangu uliisha kama mshumaa mpaka leo nipo nae lakini ananiona msumbufu kwa ninavopoteza ila kuniacha hua anaishia kutamka hatendi!!!
 
Umenigusa kaka, kuna shori kanisumbua sana natongoza miezi minne bado haeleweki but nikimwambia twende out anakubali na ofa zangu anapokea, sasa hapo katikati nikapata kitu kingine, ndani ya wiki moja tu nikalamba mzigo na bado tunaendelea na mahusiano fresh tu, huyu aliyenisumbua mda mrefu nilimpotezea kabisa, sahivi ndo anaanza kunisumbua ooh sijui namchukia mara ooh nimechange, sasa Duu kama huyu unamwelewaje? Madem kama hawa ndo unahit n' run, analeta swaga za kizaman za kuzungushana

Hao wapo, sana mkuuu. Mimi demu nikion ishara ya kuwa yupo troubled na kitu fulan kiwe ndo kina mfanya asiwe oky na relationship naweza muelewa, ila huyo wako outing anaenda evrythn anakubali ila hasemi ndio ilikuwa una mtawanya tu. Maan kuna wengine hawependi kujicomit kwa mtu ila mlango ukigonga unafunguliwa
 
Valentina shikamoo am back

Ila nikujiendekeza tu,acheni kutuumiza bana. Uta hit & run wangapi sasa? Halafu mwisho wa yote ni nini?

Halafu uje nikuombee kabla hujabaki skrepa wewe...tehe tehe

Nilikumiss lakini
 
Last edited by a moderator:
binafsi mm hata nikutane na masichana mzur aina gn, siwez kula zaid ya mara mbili au tatu
 
Back
Top Bottom