Wanaume Tabia ya Kutembea Bila Boxer/Chupi Mmeitoa Wapi?

Wanaume Tabia ya Kutembea Bila Boxer/Chupi Mmeitoa Wapi?

Siku hizi imezuka tabia wanaume waliojaaliwa down there kuvaa nguo zinazochora mikia yao na kutembea barabarani. Sijajua lengo lao hasa ni nini kutembea mkia unaning'inia na kuruka ruka. Asubuhi nimekutana na mkaka hadi nikaona aibu kwa niaba yake. Kitu kimejichora jamani na hana hata wasiwasi anafanya zake mazoezi.
Usije ukawa umeniona mimi..! Sasa mnasaidia kujua namna ya kuepuka vilemtunzi afu mnazingua.
 
Siku hizi imezuka tabia wanaume waliojaaliwa down there kuvaa nguo zinazochora mikia yao na kutembea barabarani. Sijajua lengo lao hasa ni nini kutembea mkia unaning'inia na kuruka ruka. Asubuhi nimekutana na mkaka hadi nikaona aibu kwa niaba yake. Kitu kimejichora jamani na hana hata wasiwasi anafanya zake mazoezi.
Sasa kwenye mazoezi unataka uibane ya nini sasa badala kuiacha ipumue..


Hongera kwake huyo mfanya mazoezi
 
Nashinda na boxer asubuh hadi jioni. Nikifika home naoga napiga track au pensi bila boxer naongia pub. Muhimu mashine ipate hewa kidogo aisee
 
huyo mjinga tuu alijisemea Raymond Shabani Mwakyusa kua "mjini msingi pesa sio masebene..."
 
Siku hizi imezuka tabia wanaume waliojaaliwa down there kuvaa nguo zinazochora mikia yao na kutembea barabarani. Sijajua lengo lao hasa ni nini kutembea mkia unaning'inia na kuruka ruka. Asubuhi nimekutana na mkaka hadi nikaona aibu kwa niaba yake. Kitu kimejichora jamani na hana hata wasiwasi anafanya zake mazoezi.
Tukivaa boksa wakati tunafanya mazoezi zinabana misuli ya paja hivyo tunaona bora tuvae kit peke yake.
 
Umesema alikuwa anafanya mazoezi,sasa chupi au boxer ya mini au mpini hautakiwi kurukaruka kipindi cha mazoezi?
 
Back
Top Bottom