Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Kuna mzee hapa amekufa ganzi miguu na mikono jana nimesikia ganzi imeanza kuingia na mdomoni, mzee alikua maarufu sana wa vibaby na chanzo cha haya yotee ni kibaby kimoja kilimtoa bilabila nusu kimuue akaishia kupata ganzi...haya mambo yanaenda na umri bwanaa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa umenichekesha sana aiseee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wachangiaji wamenichekesha!!
Nimecheka na nacheka sana kwa comment za wachangiaji, kama Kuna jamaa kasema demu wake wa zamani kwa sasa ni mke wa mtu, juzi kati kalala nae geto kwake kajikunja kamchapa bao mbili akajua mchezo umeisha.....lahaulaaaaa mwanamke anamaambia yaani hapa ndio umeamsha nuegge zangu njoo unikune sasa [emoji38][emoji38] jamaa kaona eenh! hii siiwezi kwakuwa sio kama zamani kabla hajaolewa maana hakuwa hivo.

Nimecheka balaaa
 
Ile Passo vipi imeacha kusumbua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…