logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
Wapigania uhuru wa JFHahahhaha wazee mnajua na gharama halisi kabisa mko njema! Kwahio kumbe maintanace cost za kabinti ka chuo ni nafuu kuliko wale wapigania uhuru! [emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapigania uhuru wa JFHahahhaha wazee mnajua na gharama halisi kabisa mko njema! Kwahio kumbe maintanace cost za kabinti ka chuo ni nafuu kuliko wale wapigania uhuru! [emoji28][emoji28][emoji28]
Haki ww huendi mbinguni...Tatizo vibinti vichuchu mwiba na mashavu tight. mkuu. ,,
Kuendelea kuona masikio ya tembo na vitambi kwa wanawake watu wazima ni moja ya kuchochea upungufu wa nguvu za kiume.
Bora nipigwe pesa na vitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm mwenyewe kanifrahisha ...Nimecheka na nacheka sana kwa comment za wachangiaji, kama Kuna jamaa kasema demu wake wa zamani kwa sasa ni mke wa mtu, juzi kati kalala nae geto kwake kajikunja kamchapa bao mbili akajua mchezo umeisha.....lahaulaaaaa mwanamke anamaambia yaani hapa ndio umeamsha nuegge zangu njoo unikune sasa [emoji38][emoji38] jamaa kaona eenh! hii siiwezi kwakuwa sio kama zamani kabla hajaolewa maana hakuwa hivo.
Nimecheka balaaa
Wapi huko mkuu?Naona tabia za kuomba hela zipogo Sana kwa wanawake wa bongo. Huku nilipo sijaona kabisa hizo tabia. Nadhani na mazingara pia yanachangia Sana.
Nimependa Hilo neno biga...halafu mzee wa miaka 70 anaogopa kufa..Huyu jamaa hajui anachoongea. Mimi nasisitiza ukipata kabinti biga. Hata hivyo mzee miaka 70 unaogopa kufa kweli
Nipo kwa muarabu mkuu,,corona mzungu haingilikiVipi Transit ugiriki huko mkuu ?
Hata Mimi nacheka sana...kwangu Mimi huu uzi ni mzuri kuliko ule wa Kula tunda masihara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wachangiaji wamenichekesha!!
Wewe kama umeshazeeka waache vijana wazichakateWakuu
Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo. Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana. Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda. Lakini watu wazima kutembea na mabinti wadogo ni risk nyingi na laana, Plus kujivunjia heshima
Hasara ni nyingi tuone..
Mwisho wazee achieni mabinti vijana waoe. Ndio maana Extrovert hataki kuoa.
😀😄😀😄Mtoa uzi kakutana na majibu tofauti kabsa na alivyotegemea. Hakuna reply hata moja iliyomuunga mkono[emoji1]
Mkuu acha woga mizinga ya vibinti vya chuo mbona kawaida sanaaa mtoto wa chuo 30k kwake mbona kubwa kabisaaa mm ukiniwekea mdada mtu mzima anaejitegemea kimaisha na mwanafunzi wa chuo nachukua mwanafunzi kwanza milage inakuwa haijasoma parefu sanaaaWakuu
Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo. Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana. Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda. Lakini watu wazima kutembea na mabinti wadogo ni risk nyingi na laana, Plus kujivunjia heshima
Hasara ni nyingi tuone..
1: Utageuzwa kitega uchumi ama mpesa.
Vibinti vingi hasa vya shule na chuo, huwa vina mambo mengi, utasikia "nitumie 30 nikatoe copy ya notes, ama simu yangu ipo kwa fundi amesema ni 50k." "mtungi umeisha gesi" " Ukiwa na mdada mtu mzima hafanyi hivi, kwanza anaona aibu kusema haya, atakuomba hela kwa njia nyingine.
2:Heshima inashuka..
Pili ni heshima yako inashuka baada ya kumnyandua binti huyo, kwani anakuona kama kijana mwenzake. Imagine binti wa 23 yrs anamwambia mzee wa miaka 70 assume ni baba yako. "hujakua wewe nakuacha" hapo mzee wa watu anapiga goti kisa tu mnato binti.. Na ukute mzee wa watu ndo una kibamia ndio utajuta yaani. Tutulie na wake zetu wakuu ama kunywa k vant aka kifutio kama una stress..
3:Kifo nje nje...
Pia kifo kinakuwa nje nje yaani, Izraili anakuwa kashashika kalamu anasubiri tu kupiga sign urudishe namba.. Vitoto hivi huwa vina style za laana wakati wa kufiringana. Mara "idondokee" mzee wa watu hujakaa vizuri mara kamekupa "nimekususia yote" kanakuja kukumalizia na sijui "covid 19" Nini hapo kama si mzee watu uteme nyongo na maini? Tabu yote ya nini mzee mwenzangu? Mkeo anakupa kistaarabu kabisa wala hazijui hizo "doggy style" ..punguza usije dedi ujaacha urithi..
Mwisho wazee achieni mabinti vijana waoe. Ndio maana Extrovert hataki kuoa.
😄😄Nko kwa mamantilie hapa, kuna jamaa kaja (inaonekana ni hawara wa huyu mamantilie)
Anaorodheshewa mahitaji hayoooo mpaka nimechoka
Mkuu Mungu Mwenyezi azidi kukufungulia makubwa na mazuri utakayo aaamin!
Ujinga wa kiwango cha DreamlinerTatizo watoto nao wanajisikia fahari kutembea na wakubwa..
TunashukuruHawa wakubwa michosho, unalipia 100k just kukutana na bwawa nani anataka?