Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Mkuu mm mwenyewe kanifrahisha ...
 
Wewe kama umeshazeeka waache vijana wazichakate
 
Mkuu acha woga mizinga ya vibinti vya chuo mbona kawaida sanaaa mtoto wa chuo 30k kwake mbona kubwa kabisaaa mm ukiniwekea mdada mtu mzima anaejitegemea kimaisha na mwanafunzi wa chuo nachukua mwanafunzi kwanza milage inakuwa haijasoma parefu sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…