Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka mleta mada ameelewa somo hapa.Mabinti unalipia gharama ndogo unapata kitu tight bt wakubwa unalipia gharama unapata kitu bwawa, hapo unadhani mwenye akili timamu ataelekea wapi?
😂😂😂 Ila kweli sijui alopitia mlolongo ila ana vituko sanaMagoli mawili ya chapu chapu kama hujajipanga vizuri na huna munkari na demu yanaweza kukufanya ukaishiwa nguvu mapema [emoji16][emoji16][emoji16]
Comments za uzi huu basi tu. Nilikuwa na kihuzuni huzuni kimeisha sababu ya kucheka. Hujambo lakini?
Wa katiba mpya😂😂😂Uhuru gani tena mkuu😁
Nakuona nakuona, nasubiri siku kuona ni mlio wa aina gani [emoji1][emoji1][emoji1]Mkuu una dhambi wewe, mlio kama umetupa jiwe kwenye matope[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Wanawake hatunaga huo ujinga wa kunanga maumbile ya watu huwa twapiga kimya mkuu.Ongea tu, upo huru, mbona sisi tunaongea? Au huna hicho cha kusema?[emoji23]
Wewe waweza SEMA tumbo la mamako dadazako waliozaa kubwa sijui k imelegea. Sio kila ukweli wakusema hadharani aisee, kwa watu waliowazalia watoto wenu.Wanawake huwa ukweli mnauita ni udhalilishaji.
😂😂 mimi ni hatari zaidi maana mlio kama zege mixer kokoto likiwa linamiminwa😛Nakuona nakuona , nasubiri siku kuona ni mlio wa aina gani [emoji1][emoji1][emoji1]
Wewe waweza SEMA tumbo la mamako dadazako waliozaa kubwa sijui k imelegea. Sio kila ukweli wakusema hadharani aisee, kwa watu waliowazalia watoto wenu.
N. B mtazamo wangu tu huu Don't take personal
Jamani kesho kuna uwezekano ninakipata Cha 2003, mahakama inasemaje Ila Kiko 18
Sasa hapa ni waliozaa how can you blame someone aliyezaa kwa operation aisee, hata kuzaa kawaida tu mwili huchakaa Sasa kila mtu asipozaa kutakuwa na watu kweli ili wawe tu wanazini, au walipieni wake zenu hela wakafanye liposuction na kubana k zao na kuweka hzo silicon lohWengi waliojichokea hata kuzaa hawajazaa, unakuta ni milage tu zimetembea. Waliozaa inaeleweka.
👌Ulete mrejesho ukiambatana na picha 😀
Mbona umeshasema sasa? Kumbe ulichotaka useme ni maumbile?[emoji23][emoji23] Basi, ila sio udhalilishaji wa wanawake, bali ndio ukweli wenyewe.Wanawake hatunaga huo ujinga wa kunanga maumbile ya watu huwa twapiga kimya mkuu.
[emoji1][emoji1][emoji1] noma saana hiyo[emoji23][emoji23] mimi ni hatari zaidi maana mlio kama zege mixer kokoto likiwa linamiminwa[emoji14]
[emoji15][emoji15][emoji1][emoji1]Tatizo vibinti vichuchu mwiba na mashavu tight. mkuu. ,,
Kuendelea kuona masikio ya tembo na vitambi kwa wanawake watu wazima ni moja ya kuchochea upungufu wa nguvu za kiume.
Bora nipigwe pesa na vitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2957][emoji23][emoji28]Huyu mleta uzi siyo bure kuna mzee kamzidi kete kupigwa buti na kabinti
Uhauri wako ni mzuri. Ngoja tujaribu kuufanyia kazi, ingawa siyo jambo jepesi kufikia hayo maamuzi.Wakuu
Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo. Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana. Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda. Lakini watu wazima kutembea na mabinti wadogo ni risk nyingi na laana, Plus kujivunjia heshima
Hasara ni nyingi tuone..