Ibrah wa kiwira
Senior Member
- May 17, 2023
- 179
- 167
Uzi huu umefanya wanaume tuji update, tusiwe wanaume wa T.a.n.g.a. kumpigia magoti mwanamke, kulia machozi kabisaaaa ety kisa mbususu. Stupid full
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaaa 🤣🤣🤣🤣🤣na nyie hamna kitu kingine cha kuwaza zaidi ya maokoto?
Mara nyingi ni makosa yetu.hapana aisee
Kabisa ni uzembe wa mwanaume, mwanaume ndo mwenye maamuzi ya kubaki kwenye mahusiano au kutoka.Jamaa yupo sahihi.
Sisi wanaume ndio madereva wa mahusiano, iwapo mwanaume ukiamua kuishi kwenye maumivu yasio-isha au yasioyo-kukomo huo unakuwa ni UZEMBE wako.
Ndo kilichobaki 😬😬na nyie hamna kitu kingine cha kuwaza zaidi ya maokoto?
Asante mkuu, ni kukumbushana na kuelimishana.Safi sana
Kabisa ni highest level of stupidity. Tunahitaji kuwa wanaume wenye Mamlaka na hapo inabidi tuwe bora.Uzi huu umefanya wanaume tuji update, tusiwe wanaume wa T.a.n.g.a. kumpigia magoti mwanamke, kulia machozi kabisaaaa ety kisa mbususu. Stupid full
stats mkuu unazo stats?😂Mara nyingi ni makosa yetu.
Asilimia kubwa wana upeo mdogo wa kufikiri, wanawaza sana short term gains na sio long term gains.stats mkuu unazo stats?😂
na ukisema mara nyingi ni sisi basi unamaanisha wao hawana akili kabisa, yaani sisi ndo tunawaongoza kwenye kila kitu
IndeedAsante mkuu, ni kukumbushana na kuelimishana.
Naposema makosa yetu, namaanisha tunafanya wrong vetting.Asilimia kubwa wana upeo mdogo wa kufikiri, wanawaza sana short term gains na sio long term gains.
Ngoja narudi.
Kabisa'asilimia kubwa ya matatizo yote yanayotupata sisi wanaume tunajisababishia wenyewe'
From your own point of view.
Huwa tunawaza kupeleka moto ndo mana demu mmoja hatoshiHua hamna kitu kingine cha kuwaza zaidi ya wanawake?,
Basi sawaHuwa tunawaza kupeleka moto ndo mana demu mmoja hatoshi
Upeleke moto, au upeleke baridi, uhonge au uhongwe, ufanye mdogo mdogo au chapchap kama kijogoo, uwe na kibamia au tango, uwe handsome or dudu baya, wote joto la jiwe utalionja tu. Mapenzi ni upambane na hali yako tu. Kila mmoja analia/anacheka kimpango wakeHuwa tunawaza kupeleka moto ndo mana demu mmoja hatoshi