Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,545
Ue na kibali maalun toka tbs
haina shida,kitapatikana tu.nije na copy au original?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ue na kibali maalun toka tbs
haina shida,kitapatikana tu.nije na copy au original?
Mtu hajawahi hata kutuma vocha ya 500,txt unajibu hajui vocha unaipata wapi,hajui tumizi lako lolote zaidi ya kulipa guest anapokuwa na shida zake,tena hakusindikizi wala kukupa nauli halafu nayeye anajidai mwanaume.Na mimi miguu yangu nabana ukiona vp pita hivi
Ukiniweka wazi kuwa Unauza, haina tatizo. I will pay.
^^
I have only two options for em men,either to the ALTER or to the BANKSafi kabisa jitu alion ata aibu alalipa lodge 50000 mchumba ambae ni muhusika Mkuu anampa 10000.
Ukinipa elfu kumi nakurudishia ukatumie mwenyewe
mpenzi.....!!!
Hapo wa kuhudumiwa hivyo ni mke tu. Full stop.
Wajinga kweli...kwenye papuchi ka wa moto wametiwa ndimu kuhudumia mgogoro....kisingizio wanawake wa siku hizi wana mabwana kila kona....what a stupid excuse..unajua nina mabwana kila kona na bado unaendelea kuwa na mimi????
Baby me zaidi. Mpaka nimepatwa na mawazo labda umetoa talaka kimya kimya...baby ake mimi. miss u hadi naugua.
ChaiKwanza nianze kwa kukiri kuwa maisha ni magumu sana nadhani kila mtu anajua.
Na katika mahusiano ya mapenzi kati ya me na ke lazima kunakuwa na tofauti ya kipato, yaani Mara nyingi wanaume wanakuwa na hali mzuri kimapato kuliko mwanamke.
Nieleweke vizuri kuwa simaanishi kuwa wanawake wote wana kipato duni la hasha.
Ningependa kuwashauri wale wenye wapenzi wa kike mambo haya yafuatayo:-
1 Ujue tofauti ya kuchunwa na kuhudumia, unapokuwa na mpenzi ujue ni jukumu lako kumpendezesha anapopendeza watu watajua wewe ndio kidume uliemwezesha.
2 .Sio mpaka akuombe ndio umpe. jaribu kumfaamu hali ya maisha na kipato chake ujue kukisia cha kumpa kwa matumizi yake.
3.Usiulize ya nini,ikitokea mpenzi amekuomba HELA usiulize ya nini ye ni MTU mzima awezi kukuomba HELA akaenda kuchambia.
4. Kutumia pesa nyingi sehemu ya starehe.
Kuna watu wanaenda mpaka hotel ya nyota 5 kustarehe akitumia zaidi ya laki tano.Cha ajabu baada ya kutoka hotel anamwacha mpenzi wake 10000 ya nauli.
Huu ni ujinga bora ungeenda ata lodge ya nafuu yeye ukamwacha na HELA ya kutosha.
5.Tenga ata 10% ya mshahara MPE yeye aangalie kama kuna kitu cha kurekebisha arekebishe.
NB.
APA ni kwa wale Wanaume wanaowazidi kipato wanawake wao sio wanawake wenye vipato vizur.
Tusiwe wataalam wakutafuta Gspot wakati ukiombwa ata 1000 unanuna mapenzi ni pamoja na kupunguzia makali ya maisha.
Yeyote mwenye chochote anaweza kuongezea apo.