Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,545
hata mpenzi pia hunipi hela papuchi no
sasa mbona na wewe unakuwa bahili?halafu kazi kusingizia wenzako tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mpenzi pia hunipi hela papuchi no
sasa mbona na wewe unakuwa bahili?halafu kazi kusingizia wenzako tu
Hakuna cha ubahili hapo ngoma droo hutoi hela kaheme mbele papuchi utaisikia kwenye bomba au utachora chini ubandue yaan.usigharamie nije nijitanue tu uingie hahha nan kasema mwnye kisu kikali ndo atakula nyama
au kila siku unamuona mpenz wako anapendeza wakat hujawahi mnunulia hata kabikini!!! wanapenda kutunziwa hawa. sometimes wao ndio wanachangia wapenz wao wawe na michepuko ya kuwahudumia kipesa.ni ujinga tuu wanaojazana...halafu hapo akimuona wa mwenzie anayetunzwa anaanza kudondosha miudenda...Kila kingaracho kinagharamiwa..
Pili kama humtunzi mkeo au mpenzi wako usilie lie utakapo mfuma ametumiwa hela na mwanaume katika Tigo pesa, Airtel mone au MPESA...kaa kimyaaaa
OLESAIDIMU
Mi nakuambia....kuna wanaume wabahili acha kabisa...speaking from experience hawafai kwa supu wala mshikaki
wanaume wa siku hizi wanavyopenda kulelewa! sidhani kama wamekuelewa.
Nimekukubal eti simtunzi mtu ambaye sijamuoa alafu unamuomba mtoke.
Atavaa magunia labda ahha
Uko mnakoenda anavaa nn?
Huvutia kwa jirani
hakuna cha ubahili hapo ngoma droo hutoi hela kaheme mbele papuchi utaisikia kwenye bomba au utachora chini ubandue yaan.usigharamie nije nijitanue tu uingie hahha nan kasema mwnye kisu kikali ndo atakula nyama
mkopo tu,hamna cha nini wala nini
Ukitaka kuona ugumu wa maisha mkope mkeo au mumeo
hahahahaha.....
unacheka nini??? nakuambia ukweli
haya mamaafacebook,nimefurahi tu baada ya kusikia utabana kwa kuwa silipii.anyway nitakufafuta kwa muda wangu kuthibitisha hilo