Wanaume tuache ubahili tuwatunze wapenzi wetu


Safi kabisa jitu alion ata aibu alalipa lodge 50000 mchumba ambae ni muhusika Mkuu anampa 10000.
 
waambie hao mana kuhudmia wanaona wanachunwa. mwansmke matunzo co kumwaga nanih tu af hata hela ya sabumn hutoi.
 
Wajinga kweli...kwenye papuchi ka wa moto wametiwa ndimu kuhudumia mgogoro....kisingizio wanawake wa siku hizi wana mabwana kila kona....what a stupid excuse..unajua nina mabwana kila kona na bado unaendelea kuwa na mimi????

Ili kuendelea kufaidi kula mzigo
 
10% ya mshahara unatoa zaka au kusaidia maskini siyo unampatia hawara yako Jembemtaji


Nyambaaaaaaff!!
 
Last edited by a moderator:
Huo ni mtizamo wako na ngumu kumeza,Wanawake wana matumizi makubwa sana kuliko unavyodhania.Kumhudumia mwanamke ambaye hujafunga naye ndoa ni sawa na kucheza kamari.
 
Chai
 
Kuhudumia ni subset ya kuchunwa...
Anayehudumia na anayechunwa, tofauti zao ni nini?

Mke ndiyo anayestahili yote haya...

Ni miaka 11 sasa... Bado una hudumia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…